BoT zifungeni Bureau de Change zilizofungwa wakati wa Hayati Magufuli

BoT zifungeni Bureau de Change zilizofungwa wakati wa Hayati Magufuli

Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.

Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.

Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.

Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Wataelewa soon
 
Difficit ya $ haidhibitiwi kwa kufungia bureau de change.
Increase exportation power ndo ndo itacontrol tatizo.
Halafu usimention bureau de change kubania $ ukawasahau silent ocean na uhujumu wanaofanya kuikandamiza thamani ya shilingi huku maafsa wa TRA wameufyata.
Wanashushaje thamani ya shilingi mkuu
 
Acheni kuandika pumba tatizo lo kukosekana kwa Dola sio Tanzania pekee hata nchi za jirani tu hapa zina suffer kama sisi. Hayo maduka yanahusikaje ?
Umesoma ukaelewa alichokiandika mtoa mada? Au umekurupuka kujibu pasipo kuelewa point ya mtoa mada!!

Mtoa mada anasema daima mfanyabiashara anachokiangalia yeye ni faida na madhala yanayotokana na faida hiyo hayajali hivyo anaficha dollar na zikiadimika automatically zinapanda hivyo anapata supper profit. Hii nayo unabisha? Kwani nchi jilani zikipatwa na tatizo la aina hiyo wao wafabiashala wa maduka ya bureaud change hawawezi kuwa na tabia hiyo ya kuficha dollar?

Na ni mtindo au tabia ya kawaida kwa mfanyabiashara yeyote zaidi kumbuka kuadimika kwa mafuta ya magari kila inapokaribia jumatano ya kila mwisho wa mwezi.
 
Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.

Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.

Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.

Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Hizo Bureau nyingi zilianzishwa wakati wa upigaji wa fedha za EPPA na kazi kuu ilikuwa ni kutakatisha fedha chafu kwa kuchenji shilingi kwenda Dola alafu pesa inapelekwa ughaibuni chini ya Gavana tapeli Daud Balali!
 
Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.

Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.

Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.

Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Inaweza ikawa kufunguliwa kwa izo nanyingine zinazo fanyakazi ndio mwanya wa kufilisi Dora nchini wanatowa ifazi kuu wanaficha uko
 
acha kidole kisugue hayo marinda.....watajua hawajui tuu
 
Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.

Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.

Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.

Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Hata huelewi kwanini dollar zimepotea.....
Pesa za kigeni sio kama mafuta..
 
Acheni kuandika pumba tatizo lo kukosekana kwa Dola sio Tanzania pekee hata nchi za jirani tu hapa zina suffer kama sisi. Hayo maduka yanahusikaje ?
Wanafikiri dollars ni kama maji unafunga valve....
 
Back
Top Bottom