King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Elimu Elimu Elimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezeni uzalishaji,tunaagiza zaidi kuliko kuzalisha na kuuza nje. Hizo zingine ni pumba ambazo umejitahidi kuzielezea ili zionekane sembe.Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.
Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.
Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.
Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Kwani uzalishaji umepungua?Ongezeni uzalishaji,tunaagiza zaidi kuliko kuzalisha na kuuza nje. Hizo zingine ni pumba ambazo umejitahidi kuzielezea ili zionekane sembe.
Yawezekana ukawa na hoja, but haya maduka ya kubadili fedha ndio yamesababisha uhaba wa dollar? Kama ni kwel haya maduka yalianzishwa tang mwaka gani? Na kila mwaka yalisababisha huo uhaba wa dollar?Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.
Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.
Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.
Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Kwani lini ulizalisha zaidi?Kwani uzalishaji umepungua?
Aendelee kuziba masikio ,utawala uliofililiskia watakuambia ,uhaba wa dolla ni dunia kote sio Tanzania tuChondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.
Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.
Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.
Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Awami hii pesa nyingi imetumika kuagiza vyakula na kununua bidhaa zingine ambazo hazina ulazima miaka ya nyuma tulikuwa tunazalisha sisi wenyewe chakula kinachotutoshaOngezeni uzalishaji,tunaagiza zaidi kuliko kuzalisha na kuuza nje. Hizo zingine ni pumba ambazo umejitahidi kuzielezea ili zionekane sembe.
Dollar huipati hata kwa Tsh2,600/1US$.Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.
Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.
Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.
Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Wameambiwa eti wanaficha dola makusudi..Acheni kuandika pumba tatizo lo kukosekana kwa Dola sio Tanzania pekee hata nchi za jirani tu hapa zina suffer kama sisi. Hayo maduka yanahusikaje ?
Mi mwanaume so alibutua wanaume wenzake sio? Ahetani wenu kafa kwa mengiYap wadada washenzi kama nyie mkijipendekeza alikuwa anawabutua tu
Yah.. Hata wavulana washenzi kama nyie mkijilengesha alikuwa anawabutua tu.Mi mwanaume so alibutua wanaume wenzake sio? Ahetani wenu kafa kwa mengi
Duh jamaa kweli wlikuq shetaniYah.. Hata wavulana washenzi kama nyie mkijilengesha alikuwa anawabutua tu.
Mama yupi unayemshauri?Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote. Ni wajibu wa serikali kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya maslahi ya wafanyabishara.
Kwasasa watu wana anticipate shilingi kuendelea kuporomoka, hivyo wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni wanayo motisha ya kuficha fedha za kigeni ili kupata faida kubwa wakiziuza.
Hayati Magufuli hakuwa mjinga kuwavamia kwa surprise, walikuwa wameanza kufanya hako kamchezo. Sio kila alichofanya Magufuli kilikuwa kibaya. Umebadili mengi mazuri aliyoyaasisi na kuishia kuharibu.
Leo hii dola moja imefika Tsh. 2,530. Kwa mwendo huu baada ya uchaguzi 2025 itakuwa zaidi ya Tsh. 3,000.
Zilifunguliwa na pesa walirudishiwaWalikwisha zifunga sasa unataka wazifunge tena!
SSH, akiendelea kucheka na nyani atavuna mabua. Wafanyabishara sio marafiki wa serikali.Mama yupi unayemshauri?
Hakuna rafiki wa serikali, hata mwanasiasa yupo pale kuna maslahi, watumishi wapo pale sababu ya mshahara, sasa kwani Mitaji ya wafanyabiashara wanapewa na serikali mpaka wasiwaze faida tu?SSH, akiendelea kucheka na nyani atavuna mabua. Wafanyabishara sio marafiki wa serikali.