JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
RC Rashid amebainisha hayo siku ya pili baada ya boti hiyo kusogezwa katika fukwe ya bahari ya Bwejuu mnamo April 23, 2022, katika juhudi za Serikali kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama juu ya kuibinuwa boti hiyo ambayo zoezi lake ilichukua siku mbili kufanikiwa.
Rashid amesema boti hiyo ambayo ina usajili wa Mauritius inadhaniwa kuibiwa kutoka nchi hiyo.
Source: Wasafi FM