Boti iliyookotwa Zanzibar hii hapa, Wanajeshi waifanyia uchunguzi baada ya hofu ya mabomu

hahahaha, taarifa imejitosheleza, kinatafutwa mauritus kiliibiwa na watu walikuwa na kazi nacho huko baharini, inaonekana kiliachwa kikaelea na kuibukia Zenji baada ya kusukumwa na mawimbi.....dip sea huwa kuna mengi sana kwa wasioelewa..

Siasa zimetuharibu sana aisee, kila jambo tunaliangalia kwenye mlengo wa siaa matokeo yake..

Bahari haifugi uchafu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…