Nyie si ndio miccm isiyoshiba, mnakula bila kubakisha, hamjui kuna watu wengi wanahitaji kupata huduma muhimu za kiuchumi na kijamii.Uzalendo hauletwi na nyie magenge ya majizi
Wenzetu wamejipanga na wanadhamiria kufanya mambo ya maendeleo,wana mikakatiBotswana siyo ndogo. Imeizidi Zimbabwe kwa ukubwa, inakaribia kulingana na zambia, Rwanda inaingia karibu mara ishirini kwa Botswana. Uganda ni mara mbili kwa ukubwa na Botswana.
Wana Tembo wengi hadi imekuwa kero wanataka kuwapunguza kwa kuwaua hadi wanaharakati wamewajia ulaya wamewajia juu. Majuzi wamewapa Angola Tembo 8000 na msumbiji Tembo mia 5.
Hivi tz utawala bora,uongozi boraPopulation ya 2.5mill yaani 1/3 ya Dar a lot of natural resources, Diamond 💎 na gold za kutosha plus utawala Bora Kila kitu kimewezekana.
miaka ya 90 dahWenzetu wamejipanga na wanadhamiria kufanya mambo ya maendeleo,wana mikakati
Botswana,Namibia nchi moja safi sana
Zimbabwe yenyewe miaka ile tunaenda ya 90s huko ilikuwa safi sana ukifika huko wenyewe tunashangashanga,tunaenda huko ili kuwaletea wabongo maziwa wanywe ya super milk
Leo hii humu tunabishana na watoto wadogo tena wanangu wakina Tlaatlaah
😄
Ova
Sio sababu,ivi unadhani pesa inayo pigwa kila siku haikutosha kugawa mbolea bure kwa watanzaniaIna watu 2.5mln only with abundant resources especially Diamond
Mwanangu we mmbishi sanamiaka ya 90 dah
Zimbabwe hata kama pangekua hakuna tatizo wasingetufikoa kwa chochote, hilo la kwanza....
lakini pia huko pengine ulikopataja sijui ati Namibia, sijui Botswana n.k, ati wamejipanga
labda wamejipanga kua na maisha magumu.
ndio maana wanafunzi wakija kusoma Tz, wakimaloza hawatamani tena na wala hawataki kurudi kwao, huko ukilopataja kwa kwasababu wana maisha mazuri, na wamejipanga, right?
nchi ulizozitaja sijui nisemaje,
ila itoshe tu kusema ni maskini sana, wana hali ngumu mno ukilinganisha na nchi nyingine barani Africa. Inatia huruma, inaskitisha sana.
kiufupi hakuna cha kujifunza katika nchi hizo...
kwan, hakuna namna nyingine ya kupotosha ndugu yangu mrangi ?
au njala yaavire
kama zile tirion zinazopotea kila siku kwenye riport ya CAG ..... zingekuwa zinawekewa sheria kali hatimaye zikarud tungekuwa tumefika mbali.....lkn tz ya viwonder inasikitisha
sasa kama ni Tz, si tuzungumze ya Tz kuliko kule ilikopataja mwanzoMwanangu we mmbishi sana
Unataka kusema tz watu hawaishi
Kwenye hali ngumu
Ova
Kabisa mkuu. Umemaliza na icho ndiyo kinatutafunaMtanzania ni mwizi
Population ikiwa kubwa ni faida kwa nchi kwani ni sources of 1. Productions labour 2. Market ndo maana nchi kama China , India, USA, Brazil zina watu wengi na zimeendelea sana.Total population is not more than 3 million. Sawa na population ya mkoa wa Mwanza
Mpaka watu washtuke na kuvunja laana iliyo kwenye ardhi ya Tanzania 🇹🇿 toka mwaka 1967.Welcome to Botswana 🇧🇼
In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.
University students receive $154 in allowances monthly.
It has low debt.
It has Africa's best Police service.
It is an upper-middle-income country.
It has Africa's highest credit rating.
It is one of the safest countries in Africa.
Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.
View attachment 2961420
Tangawizi au Karafuu?Du! Zanzibar licha ya utalii resources hakuna kule labda tangawizi.
Nchi yetu ingekuwa hapo kama ilivyo Botswana ila mikataba mibovu iliyosainiwa na viongozi hasa miaka ya nyuma imetukwamisha sana. Inashangaza sana kuona nchi hii ambayo ina rasilimali nyingi ikihangaika kwenda kukopa huku ikishindwa kutengeneza mazingira wezeshi kwa ajili ya wananchi wake kuondokana na utegemezi.Welcome to Botswana 🇧🇼
In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.
University students receive $154 in allowances monthly.
It has low debt.
It has Africa's best Police service.
It is an upper-middle-income country.
It has Africa's highest credit rating.
It is one of the safest countries in Africa.
Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.
View attachment 2961420
Wanakula na makaburu, hawajimwambafai.Welcome to Botswana 🇧🇼
In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.
University students receive $154 in allowances monthly.
It has low debt.
It has Africa's best Police service.
It is an upper-middle-income country.
It has Africa's highest credit rating.
It is one of the safest countries in Africa.
Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.
View attachment 2961420
Ukikutwa unatorosha almasi unauliwa.Uadilifu na utaifa..
Sio siasa za kijinga, Botswsna wanategemea madini na hakuna rukhsa kuuwepo na wachimbaji wadogo.Wacha sisi tuhangaike na siasa za kijinga