BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Watanganyika bwana vichwa maji kwelikweli. Huyo jamaa anaesema uislam unarudisha maendeleo nyuma mbona hatoi evidence. Km uislam ni adui wa maendeleo vipi nchi km Soud Arabia, vipi Morocco nk.Uislamu unachangia vip kudidimiza maendeleo?
Tzn hapa tuna shida za Kisiasa na vipaombele.Tz kusingekua na majizi ya mali za uma na machawa , kiuchumi hata kenye isingetupata.
Rwanda ana limited resources. Hana bandari, Hana ardhi, Hana madini, mazao machache etc.Unaposema Rwanda Ina limited resources una maanisha nini labda wakati ni Moja ya wauzaji Wakuu wa Dhahabu na Tin hapa Afrika?
Acha kuzingua labda useme unalinganisha na nani?
Hakuna Kisingizio Kwa huyo Kagame wako,ni aibu Kanchi kama kale kuwa maskini.
Duniani kote Nchi ndogo ndio zinakuwa na Ustawi wa Maisha kuliko Nchi kubwa na Zenye watu wengi kama Tanzania.
Kikubwa ni uzalendo na kutenda haki tu.Mkitaka mfanikiwe achaneni na ujinga wa democracy
Ili kuendelea lazima uwe na Bandari? Huu ujinga alikulisha nani?Rwanda ana limited resources. Hana bandari, Hana ardhi, Hana madini, mazao machache etc.
Hizo standi na ndege zinanunuliwa kwa vijichenji baada ya watu kushibisha matumbo yao ,tatzo letu ni ubinafsi na kukosa uzalendo wa kweli linapokuja swala la tumbo.Tzn hapa tuna shida za Kisiasa na vipaombele.
Sasa wewe Kwa akili Yako unategemea vipaombele dizaini ya Sgr,ndege na mastendi na masoko makubwa ndio yatawafanya muwe na Ustawi wa Maisha?
Huo ni ujinga wa Wanasiasa na kutojitambua.
Sir Setetse Nkhama. I salute you.Siri ni hii hapa,
View attachment 2961469
Kwa kifupi hawawezi kumuumiza shemeji yao... Dada yao atapata shida... Maana dada mtu alikolea sana kwa jamaa,, na alikuwa yupo teyari kwa lolote.... Wakaona isiwe tabu....
Ndio nashangaa ,ndio maana mimi huo naona walokole ni vichaa waliopata kibali cha kumiliki makanisa mda huu wangepaswa kuwa mirembe .Watanganyika bwana vichwa maji kwelikweli. Huyo jamaa anaesema uislam unarudisha maendeleo nyuma mbona hatoi evidence. Km uislam ni adui wa maendeleo vipi nchi km Soud Arabia, vipi Morocco nk.
Siasi ndio utapeli kama unabisha angalia nchi watu wa ovyo ,umaskini wa pale india unaletwa na siasaKikubwa ni uzalendo na kutenda haki tu.
Nchi nyingi za Afrika tatizo ni viongozi ni walafi kupitiliza.
Shoga hilo linajiita kijakaziWatanganyika bwana vichwa maji kwelikweli. Huyo jamaa anaesema uislam unarudisha maendeleo nyuma mbona hatoi evidence. Km uislam ni adui wa maendeleo vipi nchi km Soud Arabia, vipi Morocco nk.
Mwaka Jana nilikua huko πWelcome to Botswana π§πΌ
In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.
University students receive $154 in allowances monthly.
It has low debt.
It has Africa's best Police service.
It is an upper-middle-income country.
It has Africa's highest credit rating.
It is one of the safest countries in Africa.
Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.
View attachment 2961420
Aliyekudanganya kwamba Rwanda Ina limited resources mwambie atunge uongo mwingine na excuses nyingine itakayomsaidia Kagame kuondoa aibu ya Kushindwa kukatoa hako Kanchi kwenye LDCSir Setetse Nkhama. I salute you.
Kwahiyo huko Botswana hakuna siasa wala wanasiasa!Siasi ndio utapeli kama unabisha angalia nchi watu wa ovyo ,umaskini wa pale india unaletwa na siasa
Unaweza kuwa nayo yote ayo na bado ukawa nchi masikini kama TZ. Kama hauna viongozi wenye akili na maono makubwa kwa manufaa ya taifa na sio yao binafsi, wa wajibikaji na wazalendo ni kaz bureRwanda ana limited resources. Hana bandari, Hana ardhi, Hana madini, mazao machache etc.
Democary haiwezi kufanya kazi kweny watu wengiKwahiyo huko Botswana hakuna siasa wala wanasiasa!
Nina jamaa zangu wawili mmoja Dr mwingine Pilot wako vizuri mialiko haiishiWabongo hawajajazana huko kweli? Madaktari ambao hamna ajira, nendemi Botswana mtatoboa. Ila kule hakuna upigaji, muwe makini.