Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

Welcome to Botswana 🇧🇼

In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.

University students receive $154 in allowances monthly.

It has low debt.

It has Africa's best Police service.

It is an upper-middle-income country.

It has Africa's highest credit rating.

It is one of the safest countries in Africa.

Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.

View attachment 2961420
ccm wametuchelewesha sana kwenye maendeleo wako ki-analoque
 
Welcome to Botswana 🇧🇼

In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.

University students receive $154 in allowances monthly.

It has low debt.

It has Africa's best Police service.

It is an upper-middle-income country.

It has Africa's highest credit rating.

It is one of the safest countries in Africa.

Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.

View attachment 2961420
Siri ni hii hapa,

images.jpeg

Kwa kifupi hawawezi kumuumiza shemeji yao... Dada yao atapata shida... Maana dada mtu alikolea sana kwa jamaa,, na alikuwa yupo teyari kwa lolote.... Wakaona isiwe tabu....
 
Not good resources management!
-Botswana Watu ni wachache na kipande Chao cha ardhi ni kidogo pia!
-Tanzania watu wengi, ardhi kubwa na resources nyingi zaidi
Botswana siyo ndogo. Imeizidi Zimbabwe kwa ukubwa, inakaribia kulingana na zambia, Rwanda inaingia karibu mara ishirini kwa Botswana. Uganda ni mara mbili kwa ukubwa na Botswana.

Wana Tembo wengi hadi imekuwa kero wanataka kuwapunguza kwa kuwaua hadi wanaharakati wamewajia ulaya wamewajia juu. Majuzi wamewapa Angola Tembo 8000 na msumbiji Tembo mia 5.
 
Welcome to Botswana 🇧🇼

In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.

University students receive $154 in allowances monthly.

It has low debt.

It has Africa's best Police service.

It is an upper-middle-income country.

It has Africa's highest credit rating.

It is one of the safest countries in Africa.

Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.

View attachment 2961420
Botswana na Namibia wana unafuu wa maisha kwasababu wamedhibiti rushwa na ufisadi. Wee fikiria kama CCM isingekuwa inaiba tungesave zaidi ya trillion 50 kwa mwaka. Tungelipa na kupunguza deni la taifa na kuwekeza kwenye maendeleo. Ni ufisadi rushwa na utawala mbovu tu ndo chanzo cha nchi nyingi kuwa maskini.
 
Ila watu 2.5mln only with abundant resources
Kwani wakati Tanganyika inapata Uhuru ilikuwa na watu wangapi na rasilimali kiasi gani mbona haikukua kiuchumi. Je sasa hivi kuna watu kiasi gani na rasilimali ni kiasi gani. Siku Watanganyika wakiacha porojo na siasa za kushibisha matumbo yao ndipo maendeleo ya kweli yatafikiwa na kuonekana.
 
Welcome to Botswana 🇧🇼

In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.

University students receive $154 in allowances monthly.

It has low debt.

It has Africa's best Police service.

It is an upper-middle-income country.

It has Africa's highest credit rating.

It is one of the safest countries in Africa.

Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.

View attachment 2961420
Nyie mmekalia wizi tu hao wako Transparency kwenye utawala wao
 
kwanza kabisa hakuna uislamu na waislamu hivyo inapunguza anasa kama tuishudiayo tanzagiza, pili inahusiana na ya kwanza Botswana kama Namibia inafwata Christian (western) economic system ambapo love thy neighbor ndiyo msingi wa maisha na ndiyo maana wanasaidia wasio na uwezo, tanzagiza wanakejeliwa na wenye power …
 
Mkitulia amkaacha tamaa za mali ili kunufaika pamoja, angalia watu wa awali tu kupata uongozi walionyesha ubinafsi kuanza kupeleka miradi kwao ..Katu hakuna ushindi .

Kumbuka : Umaskini ni wa kutengenezwa , Gaddaf alianza hivyo mkamleta zengwe wapo wajibga wanamchukia bila ya sababu .
 
Botswana na Namibia wana unafuu wa maisha kwasababu wamedhibiti rushwa na ufisadi. Wee fikiria kama CCM isingekuwa inaiba tungesave zaidi ya trillion 50 kwa mwaka. Tungelipa na kupunguza deni la taifa na kuwekeza kwenye maendeleo. Ni ufisadi rushwa na utawala mbovu tu ndo chanzo cha nchi nyingi kuwa
 
Kwani wakati Tanganyika inapata Uhuru ilikuwa na watu wangapi na rasilimali kiasi gani mbona haikukua kiuchumi. Je sasa hivi kuna watu kiasi gani na rasilimali ni kiasi gani. Siku Watanganyika wakiacha porojo na siasa za kushibisha matumbo yao ndipo maendeleo ya kweli yatafikiwa na kuonekana.
Zaidi ya watu mil.11 .Kwani Botswana imepiga hatua lini si ni recently tuu baada ya kupata wawekezaji seriously kwenye Mali zao kuu almasi.

Watanzania tuko zaidi ya 65mln , Rasilimali za Tzn ni za kuunga unga
 
Welcome to Botswana 🇧🇼

In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.

University students receive $154 in allowances monthly.

It has low debt.

It has Africa's best Police service.

It is an upper-middle-income country.

It has Africa's highest credit rating.

It is one of the safest countries in Africa.

Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.

View attachment 2961420
Nilienda nikaingia hozpitali ya jeshi kasane nikapata huduma ya afya kutoka kwa kamanda na akanipa dawa za kutosha nilikuwa nasumbuliwa na mafua makali nikapewa hadi vidonge vya vitamin c , bureee nikachapa lapa
 
Back
Top Bottom