Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

Be serious bwana. Hata marehem Jiwe mwenyewe aliwahi kusema lazima ktk utawala wake tuwe dona country sababu tuna kila kiltu. Halafu wewe Unasema kuna rasilimali chache? Ebu taja kilichopo Botswana ambacho Tz halipo, halafu mimi nikutajie vilivyopo Tz ambavyo Botswana hakuna.
Botswana yenye karibia sq kilometre 582,000 zaidi ya nusu ya Tz Ina kabila Moja tu,akili zao,matamanio Yao,Kila Moja wao apate .Kwao kiongozi wa taifa ni kama Chifu,na taifa lao ni kama Jimbo.Kwao hakuna mfalme Jeta wa kusadikika.Shaban Robert.
 
Welcome to Botswana 🇧🇼

In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.

University students receive $154 in allowances monthly.

It has low debt.

It has Africa's best Police service.

It is an upper-middle-income country.

It has Africa's highest credit rating.

It is one of the safest countries in Africa.

Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.

View attachment 2961420
Aah Tanzania yangu......🙄
 
Na hakuna chama tawala chenye usela mavi na wizi kama hapa kwetu

Hapa kwetu viongozi waandamizi wa chama tawala wanajisifu kuzaliwa ocean road. Je wangezaliwa Queens - New York?
Wewe ndio una tafsiri kuwa Queens-NY ni bora kuliko OR hosp,kuna chama cha upinzani cha majizi ya magari kinajisifia wakati kinaibia watu pesa za join the chain
 
Unadhani kuhudumia familia ya watu watatu na watu 10 ni sawa! Ukienda Botswana kamji kazina unakazunguka ndani ya muda mfupi tu umekamaliza kama kuzunguka Ilemela na Nyamagana.
Na mapato ya watu watatu na mapato ya watu kumi nani zaidi?. Wanauongozi ulio Bora kubali kataa. Boda adi boda kazungula to martin drift karibu kilometa 800 ni nchi dogo hiyo?.
 
Ishu ni uongozi na uzalendo wa wananchi kwa ujumla ambapo wameamua kuijenga nchi yao.

Watu wanatakiwa waelewe Botswana robo tatu ni jangwa ila wana madini na wanayasimamia kikamilifu kuingiza pato la taifa.

Tanzania ina rasilimali nyingi sana lakini tamaa na ubinafsi wa Watanzania ndio kikwazo cha maendeleo
Kabisa mkuu. Lazima tukubali uongozi Bora wenye maono na uzalendo katika rasilimali ndiyo chimbuko la maendeleo. Congo Ina rasilimali nyingi kuliko nchi nyingi za kiafrica lakini wapo kwenye tope la umaskini
 
Botswana siyo ndogo. Imeizidi Zimbabwe kwa ukubwa, inakaribia kulingana na zambia, Rwanda inaingia karibu mara ishirini kwa Botswana. Uganda ni mara mbili kwa ukubwa na Botswana.

Wana Tembo wengi hadi imekuwa kero wanataka kuwapunguza kwa kuwaua hadi wanaharakati wamewajia ulaya wamewajia juu. Majuzi wamewapa Angola Tembo 8000 na msumbiji Tembo mia 5.
Tembo wapo wengi hapo Kazungula mpakani na huko Nata mnapishana nao wengi ila hawana madhara sana mpaka uwasumbue wana Njia zao na wanapita au kuvuka bara bara ni masaa kadhaa..
 
Kuna tofauti kati ya kiongozi wa serikali kwenda ofisini akiwa na intention ya
1) kufanya kazi kwa manufaa yake na taifa- huyu atakuwa muadilifu
2) kufanya kazi kwa manufaa yake peke yake - huyu mchumia tumbo
 
Tzn hapa tuna shida za Kisiasa na vipaombele.

Sasa wewe Kwa akili Yako unategemea vipaombele dizaini ya Sgr,ndege na mastendi na masoko makubwa ndio yatawafanya muwe na Ustawi wa Maisha?

Huo ni ujinga wa Wanasiasa na kutojitambua.
Chawa wa samia ukiwa na utimamu wa akili kabla hujarudi kwenye default mode
 
Jamaa yaani asilimia hamsini ya dhahabu inaingia kwenye bajeti. Wana kaampuni moja ndio ina deal na dhahabu na wamegawana 50:50, ila hamsini yao yote inaingia kwenye dhahabu.

Swala la wafanyakazi, lipo kimtaa, yaani mtaa ndio una present wafanyakazi husika hivo hamna upigaji.

Wana watchdog Institute yao hiyo ipo international, huibi hata sukari utajikuta ndani. Yaani hakuna rushwa hakuna wizi wa pesa za wanachi, kila kitu kimenyooka.

Plus idadi ya wananchi wao ni rahisi sana kucontrol, hawako scattered sana, everything is centred.

Ila sasa ukimwi mamamaqe. Ukimwi botswana kama unavyokutana na gari aina ya IST bongo.

Ili sisi tuweze kama botswana, inabidi Nchi izime week nzima. Mipango yote iwe centred.

Mbilingi, mbambambaa, mbelekenye , maneno yasiwe mengi.
Alafu Inakuja institute kutoka nje ndio iwe watchdog wa wizi.


Ila pia tuwe na uhakika wa utokaji wa bidhaa zetu haswa petroli, Gas, hela ya utalii, ila hili pia litafanya tusiwe naa uhuru mkubwa sana kama tulionao. Tutapata sana magonjwa kama ukimwi maaana tutakua centred.

Na kuna mengi sana itabidi yafanyike. Of which kwa wingi wetu nadhani tutalia.
Botswana ukimwi sio tatizo sababu ya uwepo wa ARVs
 
Back
Top Bottom