Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

Ipo siri kubwa kwenye madini ya nchi yetu
Siku ikifika wananchi wakajua ni kwa kiasi gani nchi inanyonywa kwenye madini
Siku wananchi wakigundua nchi yetu hii ina uwezo wa kuendeshwa na madini tu na mambo mengine yakaenda vizuri

Sadly siku hii haitafika
 
Nchi hii Viongozi hawatufai. Sijui kama wanaingia huku na kuona namna wananchi wanavyowatazama. Kuwajibishana ni MSAMIATI mgumu sana!! Hivi ni kwanini? Au watu wanakula pamoja!!? Kwanini Tunashindwa kuwajibishana??

Eeh Mwenyeezimungu Mwingi wa Rehma ninakuomba uwawajibishe Viongozi wabadhirifu pale wanaposhindwa kuwajibishana!! Tazama namna wananchi wa Nchi hii wanavyoteseka huku wachache wakijinufaisha fedha za walipa kodi!!!
 
Shida ya Burundi Iko wazi hakuna usalama na utulivu wa Kisiasa kama Rwanda so Bado nao wanajitafuta.

Wakisettle Kisiasa Burundi Ina nafasi kubwa ya kuendelea kuzidi hata Rwanda maana wanasema Ina Ardhi nzuri ya Kilimo,Madini na beaches.
Ok
Aliyekudanganya kwamba Rwanda Ina limited resources mwambie atunge uongo mwingine na excuses nyingine itakayomsaidia Kagame kuondoa aibu ya Kushindwa kukatoa hako Kanchi kwenye LDC

Mimi Huwa sio mtu wa story za kuambiwa 👇👇View attachment 2961489View attachment 2961490
Sijakuelewa. Una maana Rwanda Wana ardhi kubwa ya kilimo. Be serious ukubwa wa Rwanda ni kama mkoa mmoja wa Tanzania wewe unakuja kudai Wana eneo kubwa la kilimo. Rwanda chakula Wana import kutoka Uganda Kenya Congo au Tanzania
 
Hapana mkuu, hata Kenyatta alioa Mzungu. Hao jamaa wanamind there own business. Sio Nyerere badala ya kuendeleza nchi akachukua hela za maendeleo na kwenda kupiganisha mavita ya uhuru kila mahali mikataba. Matokeo tumebaki kuimba mtakatifu Nyerere wakati mtanzania anaonekana choo tu hapo South Africa
Mzungu kwa kenyata alikuwa kama mchepuko tu.... Lakini bwana Khama alichukua Ruth kama mke halali... Hivyo heshima ya bwana Khama ni tofauti na Kenyatta kwa wakweze
 
Welcome to Botswana 🇧🇼

In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.

University students receive $154 in allowances monthly.

It has low debt.

It has Africa's best Police service.

It is an upper-middle-income country.

It has Africa's highest credit rating.

It is one of the safest countries in Africa.

Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.

View attachment 2961420
Sasa hapo si kama M.city upige picha usiku tu,au Makumbusho usiku achana na posta
 
Ikija kuleta faida nitakula mavi yako
Nimesema kama atatokea kiongozi mwenye weledi kuendesha huo mradi.
Basi italeta faida.
Je huyo kiongozi yupo!?
Kanda ya kati na kanda ya ziwa yote hutumia reli kwa asilimia kubwa kusafirisha mizigo.
Raia wengi wa kanda ya kati na ziwa husafiri kwa reli.
Uganda,Congo,Burundi hawana bandari kama tutaweka ufanisi kwa SGR na tukaingia nao makubaliano kuwasafirishia mizigo yao kwa hii reli faida itaingia kubwa pia.
Maana behewa moja yaweza beba mzigo wa lori tatu tena ukiweka double stock hata mzigo wa lori tano unabeba kwa behewa moja.
Lori hutembea kwa spidi ndogo jumlisha foleni jumlisha kupumzika njiani.
Kama SGR ikitumika kwa UFANISI NA WELEDI zingatia hizo kauli mbili,basi faida itakuwepo.
Shida ndio Tanzania hatuna viongozi wenye weledi.
 
Tzn Ina Rasilimali za kuunga unga ndio maana huwezi ona serious investors wakiweka pesa
Tanzania haina rasilimali za kuunga bali viongozi wapigaji.
Huwezi sema rasilimali za kuunga ilhali kuna viongozi wezi huingia mikataba ya kipumbavu na wawekezaji wezi wa kihindi na pesa zinapigika.
Janja janja zikiachwa basi tutafika mbali,ila ni UTOVU WA NIDHAMU KWA MUNGU ukisema Tz kuna rasilimali unga mwana.
Kuna tukio wazee wa reli walinieleza nilichoka sana akili na nikalegea.
Hii reli ya SGR kama kusingekua na wazee wa kudai ten pasenti alikua ajenge Iran kwa bei nafuu na rafiki.
Ila kisa Iran kakataa kutoa ten pasent kwa mtangaza zabuni basi akanyimwa tenda wakapewa waliokubali kutoa ten pasenti.
Hili taifa la hovyo sana.
 
Ni nchi kubwa kieneo lakini sehemu wanakoishi watu ni sehemu ndogo. Umeshawahi kufika Botswana kwanza ili tuongee ukiwa na ufahamu.
Ningejua km izo Kama sijafika. Udogo wa watu au wingi wa watu hauna maana kimantiki. Sawa ni watu wadogo na wachache na kubali. Kwahiyo unaona wingi wa watanzania ndiyo kunafanya tuwe tulivyo? Kwa china tunaingia Mara ngapi kwa wingi? China ina watu billion Moja na milioni mia mbili. Basi ndiyo wangekua masikini zaidi duniani Kama kuwa wengi ni kuwa masikini na udogo wa watu ndiyo kuwa na uwezo. Narudia kubali kataa Uongozi Bora wenye maono na uzalendo wa kweli ndiyo chimbuko la maendeleo kwa nchi zote duniani.
 
Ningejua km izo Kama sijafika. Udogo wa watu au wingi wa watu hauna maana kimantiki. Sawa ni watu wadogo na wachache na kubali. Kwahiyo unaona wingi wa watanzania ndiyo kunafanya tuwe tulivyo? Kwa china tunaingia Mara ngapi kwa wingi? China ina watu billion Moja na milioni mia mbili. Basi ndiyo wangekua masikini zaidi duniani Kama kuwa wengi ni kuwa masikini na udogo wa watu ndiyo kuwa na uwezo. Narudia kubali kataa Uongozi Bora wenye maono na uzalendo wa kweli ndiyo chimbuko la maendeleo kwa nchi zote duniani.
Sawa
 
Huyo Mr ni bwa seretse Khama na Mrs hapo Ruth Khama... Huyo bwana alikuwa raisi wa Botswana alipelekwa ulaya kusoma alivyomaliza chuo akrudi nyumbani na Binti wa kizungu ambaye ni mkewe na kisha kuanza harakati za kisiasa na bibiye huyo wa kizungu na hatimaye kuwa raisi wa nchi na bibiye huyu wa kizungu kuwa first lady wa miongoni mwa nchi tajiri kwa madini afrika..... Kipindi cha uongozi wa huyo bwana Khama ndipo kulitokea mapinduzi ya kiuchumi ya halo ya juu sanaaaa!!!......... Ila kwa kufupisha badae mwanae pia alikuja kuwa raisi wa nchi..... Zaidi ingia maktaba au kama huwezi au huna maktaba google tu... Utapata...
Nashukuru kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom