Botswana: Township Rollers 0 - 0 Yanga SC! Yanga imetolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa matokeo ya awali

Botswana: Township Rollers 0 - 0 Yanga SC! Yanga imetolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa matokeo ya awali

Chirwa anapiga straight anonymous pass ambayo kitaalam tunaiita single acrobatic pass. Ni pass ambayo wachezaji wachache sana huwa wanamudu kuicheza.

Kwako Jesse.

Vikolombwezo vya namna ndivyo tunavyoviweza sisi Watanzania..maneno mengi vitendo hakuna...
 
Jamani tulisema hapa kuwa hawa jamaa ni 'Wachovu wa Kimataifa," mashabiki wakakasirika na baadhi wakaenda ofisi za JF kupiga punyeto kuondoa hasira zao. Yanga hata siku moja HAIJAWAHI kufanya la hajabu kimataifa, wao kazi yao ni kusindikiza tu na kujisifia kupanda ndege. Hapo utawasikia wachezaji..."tulikunywa chai ya maziwa kwenye ndege na kubugia ugoro wa Mze Akilimali." Hivi kwanini TFF isiwafungie tu, hii ni haibu kwa taifa. Ugoro wa Mze Akilimali mwisho wake hapa hapa Bongo.
 
Jamani tulisema hapa kuwa hawa jamaa ni 'Wachovu wa Kimataifa," mashabiki wakakasirika na baadhi wakaenda ofisi za JF kupiga punyeto kuondoa hasira zao. Yanga hata siku moja HAIJAWAHI kufanya la hajabu kimataifa, wao kazi yao ni kusindikiza tu na kujisifia kupanda ndege. Hapo utawasikia wachezaji..."tulikunywa chai ya maziwa kwenye ndege na kubugia ugoro wa Mze Akilimali." Hivi kwanini TFF isiwafungie tu, hii ni haibu kwa taifa. Ugoro wa Mze Akilimali mwisho wake hapa hapa Bongo.
tulia wewe mwarabu keshadindisha huko anasubiri simba aaze kunengua tu amalize kazi
 
Mpira wa bongo huwa ni mtamu ukiwa unasikiliza kwa redio(mbwembwe za watangazaji njinsi wanavyo pamba soka la bongo)

Ukiwatizama kwa ground ni uchafu-uchafu tu wanacheza na ujinga.
 
tulia wewe mwarabu keshadindisha huko anasubiri simba aaze kunengua tu amalize kazi


Mi si Simba wala Yanga na sipendi mpira wa Bongo hata siku moja kwani kushabikia mpira wa kibongo ni kufirisika kimawazo. Yaani mtu unapigwa kwenu na jamaa wa manispaa, si haibu hii?
 
Jamani tulisema hapa kuwa hawa jamaa ni 'Wachovu wa Kimataifa," mashabiki wakakasirika na baadhi wakaenda ofisi za JF kupiga punyeto kuondoa hasira zao. Yanga hata siku moja HAIJAWAHI kufanya la hajabu kimataifa, wao kazi yao ni kusindikiza tu na kujisifia kupanda ndege. Hapo utawasikia wachezaji..."tulikunywa chai ya maziwa kwenye ndege na kubugia ugoro wa Mze Akilimali." Hivi kwanini TFF isiwafungie tu, hii ni haibu kwa taifa. Ugoro wa Mze Akilimali mwisho wake hapa hapa Bongo.
Yanga haina biashara ya kukata rufaa FIFA. So far, timu zote za Tanzania zinashiriki tu. Hakuna aliyewahi kuleta Kombe lolote la CAF. Issue si kufika fainali, ni kubeba Kombe. Aliyerudia Morogoro na Mwingine Dodoma, wote hawajafika Kigoma.
 
Yanga haina biashara ya kukata rufaa FIFA. So far, timu zote za Tanzania zinashiriki tu. Hakuna aliyewahi kuleta Kombe lolote la CAF. Issue si kufika fainali, ni kubeba Kombe. Aliyerudia Morogoro na Mwingine Dodoma, wote hawajafika Kigoma.


Inasikitisha sana, sasa kwa nini Yanga wanajiita wa kimataifa ikiwa wao ni wachovu kinoma kwenye hayo mashindano ya kimataifa. Si ni haibu hii?
 
Inasikitisha sana, sasa kwa nini Yanga wanajiita wa kimataifa ikiwa wao ni wachovu kinoma kwenye hayo mashindano ya kimataifa. Si ni haibu hii?
Yanga ni kimataifa kwa sababu inapata nafasi ya kushiriki baada ya kubeba ndoo ya VPL
 
Nimepita kuwakumbusha kifo ni kifo tu hakina jinsia!!

Nasikia huku mtaani wamekazana wamekufa kiume
 
Jamani Yanga si timu kivile, tulisha waambia hawa ni wachovu tu wa kimataifa, mnabisha nini? Miaka nenda miaka rudi hali ni ile ile tu kwao.
 
Back
Top Bottom