princewilly
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 259
- 528
wanawake nao wanavumilia mengiKwa siku za hali ya kawaida hapa dar navaa siku nne mpaka tano,kwa joto kama hili navaa siku tatu tu na inategemea kama sijafua navaa mpaka siku nne.
wanawake nao wanavumilia mengi
akirudi jioni kuoga hataki alafu anataka haki yake ya msingi ya ndoa na boksa ipo kiunoni for three to four days...harufu kama mzoga wa tumbili wa udsmKabisa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji119]
Wakuu, kama swali linavyojieleza hapo juu...Boxer inatakiwa ivaliwe kwa siku ngapi kabla ya kufuliwa?
Wanaume karibuni kutoa uzoefu na hata wanawake mnakaribishwa.