Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Kweli..Acha utani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli..Acha utani
Hata hizo za kwenye picha ya mada huvaagi mkuu utakua na matatizoMaswala ya kuvaa boxer nishaacha tangu nilipobalehe[emoji41] [emoji41]
![]()
Wakuu, kama swali linavyojieleza hapo juu...Boxer inatakiwa ivaliwe kwa siku ngapi kabla ya kufuliwa?
Wanaume karibuni kutoa uzoefu na hata wanawake mnakaribishwa.
🙂🙂🙂🙂Kwa siku za hali ya kawaida hapa dar navaa siku nne mpaka tano,kwa joto kama hili navaa siku tatu tu na inategemea kama sijafua navaa mpaka siku nne.
Nakubali, mashine ipumuwe, na korodani zisipate joto, very strategic bro..Boksa inafanya mashine kuwa kibamia,mimi sivai kabisa
NopeAisee wanaume mvaage boksa safi kila siku
Basi kazi ipo.Nope
Mmmmmh it's nice to wear for couple of days without washingBasi kazi ipo.
Wenzenu kwenye ndoa tunawabadilishia kila siku. wanakuwa so fresh so clean.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] na wananuka kweliiivi unavaaje boxer siku 3? unaenda bafuni unarudi unaivaa tena mijasho, mikojo , manii ndo maana wengine wananukaga
Mhmmmm lazima unuke kimangatiMimi Kama sijafanya ujinga na mwamke napiga Siku 7 hadi 10.