DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Hivi kwa nn wanawake Hawavai boxer?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo na wapo wanaovaa bossHivi kwa nn wanawake Hawavai boxer?
we ni ME? wanaume wanapata emergency?MIMI NAVAA SIKU MOJA TU, BILA KUJALI NIPO WAPI LABDA IWE EMERGENCY
Duhhh,,,,Tuwaulize mnaovaa. Mimi vitu vya kubana bana naonaga mateso tu. Nikipiga bukta yangu inafuata trouser
watu watazimia,,Naogopa kutaja siku!!!!
boxer haina shida zile tight ndiyo mbaya,,Boksa inafanya mashine kuwa kibamia,mimi sivai kabisa
Eeeh hata mm sivaaagi mara kwa mara,...[emoji12] [emoji12]Napenda dudu lipate uhuru
Kwan ww huvai chu.pi?!
Eeeh hata mm sivaaagi mara kwa mara,...[emoji12] [emoji12]
kukutana na mwanamke ndio nn?me naona siku tano itapendeza. Maana kama hujakutana na mwanamke hata wiki unafunga
Wee taratibu.... tena taratibu saanaWanaume wachafu jamani!! Unarudiaje nguo ya ndani!!!
mkuu acha kumsumbua shemeji kufuafua kama umeoaKwangu kila asubuhi nnavoenda job, na nikirud tu uwa na change