Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
masaaa kadhaa![]()
Wakuu, kama swali linavyojieleza hapo juu...Boxer inatakiwa ivaliwe kwa siku ngapi kabla ya kufuliwa?
Wanaume karibuni kutoa uzoefu na hata wanawake mnakaribishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
masaaa kadhaa![]()
Wakuu, kama swali linavyojieleza hapo juu...Boxer inatakiwa ivaliwe kwa siku ngapi kabla ya kufuliwa?
Wanaume karibuni kutoa uzoefu na hata wanawake mnakaribishwa.
Jombaa umetishaKwa siku za hali ya kawaida hapa dar navaa siku nne mpaka tano,kwa joto kama hili navaa siku tatu tu na inategemea kama sijafua navaa mpaka siku nne.
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Mimi Kama sijafanya ujinga na mwamke napiga Siku 7 hadi 10.
Uliwanusa ukiwa wapi?ivi unavaaje boxer siku 3? unaenda bafuni unarudi unaivaa tena mijasho, mikojo , manii ndo maana wengine wananukaga
Acha utaniSiku kumi sio mbaya.
UbuntuX hata uwe mafinga huwezi vaa boxer siku 3[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa siku za hali ya kawaida hapa dar navaa siku nne mpaka tano,kwa joto kama hili navaa siku tatu tu na inategemea kama sijafua navaa mpaka siku nne.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwaka huu tutaona mengiMimi Kama sijafanya ujinga na mwamke napiga Siku 7 hadi 10.