Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lambofgod umenifanya nicheke sana, nusu ya kushusha vitumkuu acha kumsumbua shemeji kufuafua kama umeoa
Siku 100 mkuu.![]()
Wakuu, kama swali linavyojieleza hapo juu...Boxer inatakiwa ivaliwe kwa siku ngapi kabla ya kufuliwa?
Wanaume karibuni kutoa uzoefu na hata wanawake mnakaribishwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lambofgod umenifanya nicheke sana, nusu ya kushusha vitu
Sio boxer tuu,, hata nguo hupaswi kurudia,,
kwa dada yyako yupi mzeeAfadhali haujaniuliza mie... msalimie huyo shemeji yangu.
Siku tatu nne mkuu? Si utakua unanuka mkojo?Kwa mlioko maeneo ya joto siku moja ila tulioko kwenye baridi hata siku tatu nne
Sifa ya mwanaume lazima anuke kwapa, akishindwa soksi, ukishindwa zaidi mdomo [emoji23][emoji23][emoji23], ukiona huna hivyo basi wewe sio mwanaume ni mlembo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu hii yaweza kuwa sababu tosha kwa nini ndoa nyingi hazidumu siku hizi kwa kuwachosha mashela zetu kwa ufuaji wa boxer
Mzee siye watu wazima tusiyachimbe hayakwa dada yyako yupi mzee
Nani kasemanguo za ndani hazitakiwi kurudiwa kuvaliwa hadi zifuliwe tena
umeamua kuniua haya bwanaMzee siye watu wazima tusiyachimbe haya