Boxer inatakiwa ivaliwe siku ngapi kabla ya kufua?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lambofgod umenifanya nicheke sana, nusu ya kushusha vitu

mkuu hii yaweza kuwa sababu tosha kwa nini ndoa nyingi hazidumu siku hizi kwa kuwachosha mashela zetu kwa ufuaji wa boxer
 
mkuu hii yaweza kuwa sababu tosha kwa nini ndoa nyingi hazidumu siku hizi kwa kuwachosha mashela zetu kwa ufuaji wa boxer
Sifa ya mwanaume lazima anuke kwapa, akishindwa soksi, ukishindwa zaidi mdomo [emoji23][emoji23][emoji23], ukiona huna hivyo basi wewe sio mwanaume ni mlembo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…