Aiseeeee......[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kwa mlioko maeneo ya joto siku moja ila tulioko kwenye baridi hata siku tatu nne
Dah unanukaje mkojoSiku tatu nne mkuu? Si utakua unanuka mkojo?
Mdomo wangu umebaki wazi kabisaaaaaaaa......[emoji47] [emoji47] [emoji47]Kwa siku za hali ya kawaida hapa dar navaa siku nne mpaka tano,kwa joto kama hili navaa siku tatu tu na inategemea kama sijafua navaa mpaka siku nne.
Naona tatizo kufua Queen V. Kama mfuaji yupo kama wewe hivi basi hata nusu siku....Siku 1 tu jamani.....Unairudishaje mwilini tena kesho yake?
Hapana mzee nakupa uhuru halafu wakwe/mashemeji huwa katika maongezi wana kiwango cha maongeziumeamua kuniua haya bwana
Duhhhh......[emoji15] [emoji15]Nikija Dar, navaa kwa siku moja tu. Yaani, saa navua jasho limejaa balaa. Huwezi kuirudia kuvaa.
Nikiwa Moshi, Arusha, woi navaa hata siku tatu.
Hahaaahaaaaaa.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Mimi Kama sijafanya ujinga na mwamke napiga Siku 7 hadi 10.
Ha h a ha ha utanipeperushia ndege wangu kisa dada yakoHapana mzee nakupa uhuru halafu wakwe/mashemeji huwa katika maongezi wana kiwango cha maongezi
Tusije tukakerana ukanirudishia dada.
wewe fanya tubadilishane... nipe wako nikupe huyu wangu namaanisha madada lkn.Ha h a ha ha utanipeperushia ndege wangu kisa dada yako
Hata mwezi.Kwa mlioko maeneo ya joto siku moja ila tulioko kwenye baridi hata siku tatu nne
Na ukute alikuwa uchi wakati ananusa.Uliwanusa ukiwa wapi?
kawaida yetu madume boxer na soksi ni mungu anajua sijui tumelaaniwa kwanini tunapenda kurudia rudia hata mimi nimevaa ile ile ya jana na huwa najishangaa uvivu wa kuchukua nyingine sijui unatoka wapi
Wakuu, kama swali linavyojieleza hapo juu...Boxer inatakiwa ivaliwe kwa siku ngapi kabla ya kufuliwa?
Wanaume karibuni kutoa uzoefu na hata wanawake mnakaribishwa.