irumba1
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 882
- 321
kweliwatu watazimia,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweliwatu watazimia,,
Ha ha hah mzee kumbe engo lako lilikuwa kumuwinda dada yangu sasa yupi kati ya wale wengi?wewe fanya tubadilishane... nipe wako nikupe huyu wangu namaanisha madada lkn.
Kwahiyo kamjamaa kanajimwaya mwaya tu, kanaruka upande na upande!!Sivaag kabisa
Ndivyo mnavyodanganyana huko vijiweni!!!Sifa ya mwanaume lazima anuke kwapa, akishindwa soksi, ukishindwa zaidi mdomo [emoji23][emoji23][emoji23], ukiona huna hivyo basi wewe sio mwanaume ni mlembo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jibu swali huko.Mzee siye watu wazima tusiyachimbe haya
Acha kabisa yaan full kujidaiKwahiyo kamjamaa kanajimwaya mwaya tu, kanaruka upande na upande!!
[emoji23][emoji23] kuna mwanaume mlembo?Ndivyo mnavyodanganyana huko vijiweni!!!
Acha uchafu dogo.[emoji23][emoji23] kuna mwanaume mlembo?
Hongera.Acha kabisa yaan full kujidai
Asante sanaaaaHongera.
Unaweza kuta ex wake mmoja ndio kawa dada yake sasa hivi maana akili zake anazijua mwenyewe.Akikujibu utaniambia
Ahaa sasa huyu jamaa ana X weng sana sjajua ataamua kunipa X au dada yake mwengneUnaweza kuta ex wake mmoja ndio kawa dada yake sasa hivi maana akili zake anazijua mwenyewe.
Tatu hadi nne.uko seriously kweli.Kwa mlioko maeneo ya joto siku moja ila tulioko kwenye baridi hata siku tatu nne
Wewe kibokoKwa siku za hali ya kawaida hapa dar navaa siku nne mpaka tano,kwa joto kama hili navaa siku tatu tu na inategemea kama sijafua navaa mpaka siku nne.