Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Amka aisee mambo yamotoNasinzia kwenye kochi ila namsubiri Kiduku
Hiyu aliyevaa pensi ya blue na kitambaa cheupe ni nanNawacheki hawa Swahibu Ramadhan vs Charles Chilala aisee pambano kali sana.
Hawa jamaa wote wawili hasa huyu Chilala nawaona mbali sana miaka ijayo.
boxing ni mchezo wa watu weusi na wazungu tu.Wahindi na ndondi wapi na wapi...
Kwanini mabondia wetu hua hawaleti warusi?
swahibu huyo chuggaboyHiyu aliyevaa pensi ya blue na kitambaa cheupe ni nan
Mabondia wetu wakienda urusi hutandikwa nusu ya kuuwawa...boxing ni mchezo wa watu weusi na wazungu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee kumbe wewe sio mzalendo, unataka mrusi aje kutuzalilisha sio ili roho yako ifurahi sio.Wahindi na ndondi wapi na wapi...
Kwanini mabondia wetu hua hawaleti warusi?
kule huwezi kushinda sio ngumi tu hata michezo mingine. ile hali ya hewa sio kabisa.Mabondia wetu wakienda urusi hutandikwa nusu ya kuuwawa...
Ningeshauri tuwe tunawaletea hao ili tuwazoee.
Smart Hao Ndo akina nani tena??🤠
Sio hali ya hewa ..kule huwezi kushinda sio ngumi tu hata michezo mingine. ile hali ya hewa sio kabisa.
Unamjua uyo mpinzani wake au kwa kuwa ni mhindi?[emoji1][emoji1]Kidukuu anashinda hii
akina nani?Smart Hao Ndo akina nani tena??[emoji1783]
Naomba mwongozo pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!