Boxing: Kiduku amchakaza bondia kutoka India

Boxing: Kiduku amchakaza bondia kutoka India

Mbabe wa India ni mdhaifu sana hakuja na ule mkwara wake wa Bollywood, Kiduku anajua asee sio kwa yale makonde lilikua linakufa jitu kama angeakua kukomaa kisabuni.
 
Twaha bondia mzuri ila haraka ya kumaliza mapema kama Mike Tyson inamgharimu kwa kukosa stamina baada ya raundi ya sita.
---wachambuzi Ufm
 
Tia neno kama unafatilia mapambano yanayoendelea

View attachment 2961165

Bondia Mtanzania Twaha Kiduku amefanikiwa kushinda pambano lake dhidi ya Harpreet Singh wa India kwa TKO baada ya kumalizika Raundi ya Tano.

Ngumi mfululizo zilizotua usoni kwa mpinzani hasa kuanzia Raindi ya Nne na Tano zilimfanya Singh kukubali matokeo katika Raundi ya Tano na kushindwa kuendelea na pambano.
Kiduku akapigane nje ya nchi......
 
Kiduku bondia mzur ila huwa anapapara ya kumaliza pambano mapema akikutana na mpinzan mgumu kadri muda unavoenda anazid kuchanganyikiwa pia hawez kupiga body punch
 
Huyo mtangazaji wa kike ana maneno ya kibaguzi sana hasa kwa Mhindi
Nikiwaambia Mtu mweusi ndio mbaguzi zaidi kupita race yoyote ila duniani mnakataa. Moyoni mwa mtu mweusi mmejaa majina kama Gabachori, Mhindi Koko, Mwarabu Koko, Nguruwe, Mzungu Pori na mengine mengine tu. Kinachomzuia ana uchumi mdogo, vinginevyo hakuna rangi mngeacha kuiona.
 
Nikiwaambia Mtu mweusi ndio mbaguzi zaidi kupita race yoyote ila duniani mnakataa. Moyoni mwa mtu mweusi mmejaa majina kama Gabachori, Mhindi Koko, Mwarabu Koko, Nguruwe, Mzungu Pori na mengine mengine tu. Kinachomzuia ana uchumi mdogo, vinginevyo hakuna rangi mngeacha kuiona.
Kweli kabisa haya nimeyashuhudia sana na Bado nayashuhudia mtaani. Angalia mtu mweusi akipata mali anavyokua
 
Back
Top Bottom