kama kiduku ndio ameomba pambano na huyu mfanyabiashara wa kiasia basi kiduku hana akili timamu. lakini kama bwa muasia ndiye kaomba pambano basi haina neno.raundi ya 5 muhindi amesanda pambano. kiduju mshindi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama kiduku ndio ameomba pambano na huyu mfanyabiashara wa kiasia basi kiduku hana akili timamu. lakini kama bwa muasia ndiye kaomba pambano basi haina neno.raundi ya 5 muhindi amesanda pambano. kiduju mshindi.
Round ya sita hipi na tumeishiwa ya tanoTwaha bondia mzuri ila haraka ya kumaliza mapema kama Mike Tyson inamgharimu kwa kukosa stamina baada ya raundi ya sita.
---wachambuzi Ufm
Kiduku akapigane nje ya nchi......Tia neno kama unafatilia mapambano yanayoendelea
View attachment 2961165
Bondia Mtanzania Twaha Kiduku amefanikiwa kushinda pambano lake dhidi ya Harpreet Singh wa India kwa TKO baada ya kumalizika Raundi ya Tano.
Ngumi mfululizo zilizotua usoni kwa mpinzani hasa kuanzia Raindi ya Nne na Tano zilimfanya Singh kukubali matokeo katika Raundi ya Tano na kushindwa kuendelea na pambano.
Hook kutokea pembeni,kutokea chini upper cut(hambakati)Jab=ngumi
hook=ngumi ya kutokea chini
South paw=bondia anayetumia mkono wa kushoto
orthodox=bondia anayetumia mkono wa kulia
Sahihi kabisa. Wahindi wanajua tu kuigiza zile muvi zao za uongo. Mtu anapiga hewa, ila kelele zake siyo za dunia hii.Wahindi na ndondi wapi na wapi...
Kwanini mabondia wetu hua hawaleti warusi?
Nikiwaambia Mtu mweusi ndio mbaguzi zaidi kupita race yoyote ila duniani mnakataa. Moyoni mwa mtu mweusi mmejaa majina kama Gabachori, Mhindi Koko, Mwarabu Koko, Nguruwe, Mzungu Pori na mengine mengine tu. Kinachomzuia ana uchumi mdogo, vinginevyo hakuna rangi mngeacha kuiona.Huyo mtangazaji wa kike ana maneno ya kibaguzi sana hasa kwa Mhindi
Kweli kabisa haya nimeyashuhudia sana na Bado nayashuhudia mtaani. Angalia mtu mweusi akipata mali anavyokuaNikiwaambia Mtu mweusi ndio mbaguzi zaidi kupita race yoyote ila duniani mnakataa. Moyoni mwa mtu mweusi mmejaa majina kama Gabachori, Mhindi Koko, Mwarabu Koko, Nguruwe, Mzungu Pori na mengine mengine tu. Kinachomzuia ana uchumi mdogo, vinginevyo hakuna rangi mngeacha kuiona.