TANZIA Boyd Mwabulanga aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya afariki dunia

TANZIA Boyd Mwabulanga aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya afariki dunia

Historia aliyoiacha ni kubwa sana, deni alilotuachia ni kubwa mno, daima mapambano ya haki yataendelea.
Pumzikeni kwa amani makamanda wote, mliotutoka ingali bado taifa/dunia ikiwahitaji.
Mwanga wa milele uwaangazie....
 
Dah....RIP bro...nakumbuka pale Carnival nilivyotambulishwa nawe ukanifanyia vyema...[emoji120]
 
TANZIA TANZIA TANZIA
View attachment 1677866
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO-CHADEMA MKOA WA MBEYA.

Kwa Masikitiko Makubwa Tunawatanganzia Kifo Cha Kamanda Mwenzetu BOYD MWABULANGA

Enzi Za Uhai Wake Amewahi Kukitumikia Chama Chetu Kama Katibu Wa Mkoa Kwa Mafanikio Makubwa.

Pia Amewahi Kuwatumikia Wananchi Kama Diwan Wa Kata Ya Forest Katika Halmashauri Ya Jiji La Mbeya Na Katika Uchaguzi Wa October 2020 Alikua Ndiye Mgombea Wetu Wa Udiwan Wa Kata Hiyo Ya Forest.

Kifo Chake Kimetokea Huko Dar es Salaaam Alipokua Akiendelea Na Matibabu.
Tunaendelea Kuwasiliana Na Familia Kwa Taratibu Zaidi Za Msiba Na Tutawajulisha Kila Hatua Inayoendelea.

REST IN PARADISE KAMANDA BOYD


IMETOLEWA NA
GEORGE TITO
KATIBU MKOA WA MBEYA
Mwamba alipindua MEZA akatimuliwa A-Level. Mpaka dakika ya mwisho yeye ni mapambano tu. RIP Boyd
 
Back
Top Bottom