"Boys 2 Men", kwanini msiiache Tanzania ipumue?

"Boys 2 Men", kwanini msiiache Tanzania ipumue?

Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?

Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?

Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!

Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?

Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?

Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.

Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?

Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?

Naomba kuwasilisha.

Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Sukuma gang ndio wataipeleka .
 
Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?

Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?

Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!

Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?

Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?

Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.

Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?

Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?

Naomba kuwasilisha.

Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Twambie Kwanza,boys two men ni Akina nani? Utwambie nani ni Wanya,Nathan Morris na Stockmana
 
Mkuu hayo ni majoka ,,,yaliona ili yaibe yaanze na Mzee WA lupaso .Sasa hivi yanajitawala na yanakula yatakavyoo ..ni MDA WA kusali kila mmoja Kwa Imani yake ili siku Moja yafie kwenye kichuguu Kwa pamoja ( MTU Kama vice president & prime minister ni WA kukaaa kimya Kama vile hawapo.hii inatoka kuwa wameona mijoka mikubwa kwenye kichuguu ukileta za kuleta unaliwa kichwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha kusali wala nini,tuamke tuyachakate vipande vipande Sasa hivi.
 
Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?

Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?

Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!

Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?

Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?

Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.

Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?

Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?

Naomba kuwasilisha.

Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Ina maana wameshatukamata tena?
 
Mkuu, Ngungenge unafikiri hatuwezi kupata Bora zaidi ya hawa? Nchi ikasonga zaidi? Au watu milion 60, wao ndio vipanga tu!!
Unawapatia wapi? Kwa mfumo upi? Ulioandaliwa na nani? Unahusika vipi katika kuuandaa mfumo wa kumuandaa raisi?

Tusipende porojo nyepesi nyepesi.
Raisi wa nchi wa miaka 10 ijayo mfumo unamuandaa sasa. Wa sasa aliandaliwa miaka 10 iliyopita hata aliyepita kwa mgongo wa Kudra aliandaliwa kwa hiyo nafasi ndo maana akawa hapo.

Swali: Ni nini unachofanya sasa katika mfumo wa kuandaa viongozi kuhakikisha raisi ajaye analelewa kufuata matakwa yako?
 
Unawapatia wapi? Kwa mfumo upi? Ulioandaliwa na nani? Unahusika vipi katika kuuandaa mfumo wa kumuandaa raisi?

Tusipende porojo nyepesi nyepesi.
Raisi wa nchi wa miaka 10 ijayo mfumo unamuandaa sasa. Wa sasa aliandaliwa miaka 10 iliyopita hata aliyepita kwa mgongo wa Kudra aliandaliwa kwa hiyo nafasi ndo maana akawa hapo.

Swali: Ni nini unachofanya sasa katika mfumo wa kuandaa viongozi kuhakikisha raisi ajaye analelewa kufuata matakwa yako?
Nani anahusika na kumuandaa Rais ajaye?. Kina nani hao?
 
Ina maana wameshatukamata tena?

FF34pViXsAQzI9J.jpeg
 
Dawa ni kuipiga chini CCM, miaka zaidi ya 60 kila siku ni porojo tu! Tuwape wengine nao wakizingua wapigwe chini! Ccm wamejipa hatikiliki ya nchi hii kwa hiyo wanafanya watakavyo! Ndio mana wanafunga watu kwa ajili ya kutetea katiba mpya!
Kenya waliipiga chini KANU ila wakampa urais Uhuru mtoto wa muasisi wa KANU. Ni sawa na kuweka mvinyo mpya katika kiriba cha zamani.
 
Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?

Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?

Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!

Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?

Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?

Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.

Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?

Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?

Naomba kuwasilisha.

Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Tumechelewa kwasasa, Naamin tulimsema vibaya Magufuli pasi kujua, hatukulinda ipasavyo John, Ni John ndo angeweza kuwepo mpaka uchaguzi wa 2025 ndo angeweza kuwafuta rasmi kwa kumleta mtu ambae angekuwa against na wao ila kwasasa tumechelewa.
 
Tumechelewa kwasasa, Naamin tulimsema vibaya Magufuli pasi kujua, hatukulinda ipasavyo John, Ni John ndo angeweza kuwepo mpaka uchaguzi wa 2025 ndo angeweza kuwafuta rasmi kwa kumleta mtu ambae angekuwa against na wao ila kwasasa tumechelewa.
Juzi katika kongamano la kumuenzi Mzee Nauye, meza kuu, pale Ukumbi wa Chuo kikuu cha Dsm (UDSM)

FF34pViXsAQzI9J.jpeg
 
Hahahahaa
Boyz 2 Men - Tutakua nao mpaka
End of the road 2030
maana Wana special tour
Na wanampango wa kuingiza watoto zao kwenye Band na tutakua na
Boyz 2 Men juniors
Sukuma gang Kwisha habari Yenu na Ndio mshakatwa mikia hivyo!
Hamtaki mkufeeeeee!
😁😁😁😁
 
Huu mtandao wa wahuni ulioasisiwa na jk ndio umeifikisha nchi kwenye huu umaskini na bado wanataka kuendelea kutuibia.

Nchi hii haiwezekani kupata maendeleo mpaka awa wahuni wote wafe.
You are not serious hii nchi iliwahi kuwa tajiri?
 
Mkuu, Ngungenge unafikiri hatuwezi kupata Bora zaidi ya hawa? Nchi ikasonga zaidi? Au watu milion 60, wao ndio vipanga tu!!
Vipanga gani wapumbavu na wachawi hao, waliwahi kuonyesha wapi positive impact ya elimu yao kwa taifa hili?
Wanasaini vitu hata darasa la saba wanaona makosa eti wanajifanya hawakuona, sio wachawi hao?!!
 
Back
Top Bottom