"Boys 2 Men", kwanini msiiache Tanzania ipumue?

"Boys 2 Men", kwanini msiiache Tanzania ipumue?

Dawa ni kuipiga chini CCM, miaka zaidi ya 60 kila siku ni porojo tu! Tuwape wengine nao wakizingua wapigwe chini! Ccm wamejipa hatikiliki ya nchi hii kwa hiyo wanafanya watakavyo! Ndio mana wanafunga watu kwa ajili ya kutetea katiba mpya!
UKISHA IPIGA CHINI CCM HALAFU UNAWAPA CHAMA GANI???? WENYE UCHUNGU NA TZ
 
Huu mtandao wa wahuni ulioasisiwa na jk ndio umeifikisha nchi kwenye huu umaskini na bado wanataka kuendelea kutuibia.

Nchi hii haiwezekani kupata maendeleo mpaka awa wahuni wote wafe.
Hasa huyu mtoto mwenye hizi lake oil
 
Ukifikiria sana mambo ufisadi yanayofanyika nchi hii unaweza jikuta unapata kiharusi.
 
Ukifikiria sana mambo ufisadi yanayofanyika nchi hii unaweza jikuta unapata kiharusi.
Yani inakuwaje nchi ina watu wanapanga kufika juu ili wapige pesa?
 
Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?

Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?

Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!

Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?

Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?

Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.

Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?

Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?

Naomba kuwasilisha.

Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
uroho tu wa madaraka ndio unaowasumbua....huwa napataga sana tabu nikiwafikiriaga huenda labda wenzangu mnaweza mkawa na jibu la kuniridhisha....hivi hao jamaa wakiachana na siasa za bongo wanahisi watakufa njaaa au kitu gan?
 
Huu mtandao wa wahuni ulioasisiwa na jk ndio umeifikisha nchi kwenye huu umaskini na bado wanataka kuendelea kutuibia.

Nchi hii haiwezekani kupata maendeleo mpaka awa wahuni wote wafe.
Dawa kunda LosPepes, wamalizwe 1 by 1.
 
uroho tu wa madaraka ndio unaowasumbua....huwa napataga sana tabu nikiwafikiriaga huenda labda wenzangu mnaweza mkawa na jibu la kuniridhisha....hivi hao jamaa wakiachana na siasa za bongo wanahisi watakufa njaaa au kitu gan?
Hili swali umeuliza la muhimu sana. Naongezea: Inakuwaje mtu awaze kuishi Kwa siasa tu, akimaliza yeye, anataka jamaa yake ashike, mtoto wa jamaa yake ashike, Mke wake ashike, Yani hivi bila mkondo wa kisiasa wao hawaishi? Je, hawaoni wanabana vipaji vingine kujitokeza kuongoza?!
 
Back
Top Bottom