"Boys 2 Men", kwanini msiiache Tanzania ipumue?

"Boys 2 Men", kwanini msiiache Tanzania ipumue?

Bora boys 2 men kuliko Sukuma gang
Boys 2 men tuliishi vizuri watoto Shule za mana tulijenga tulinujua V8 kwa pesa zetu
Omba korona iishe tu otherwise kipindi hiki cha boys to men ndo utakula msoto maradufu kuliko hata hizo zama za jiwe [emoji23]
 
Mkuu hayo ni majoka ,,,yaliona ili yaibe yaanze na Mzee WA lupaso .Sasa hivi yanajitawala na yanakula yatakavyoo ..ni MDA WA kusali kila mmoja Kwa Imani yake ili siku Moja yafie kwenye kichuguu Kwa pamoja ( MTU Kama vice president & prime minister ni WA kukaaa kimya Kama vile hawapo.hii inatoka kuwa wameona mijoka mikubwa kwenye kichuguu ukileta za kuleta unaliwa kichwa
Mkuu umeongea neno la maana, kila ulichosema ndivyo kilivyo hasa, nilitamani kusikia watu wanasema ukweli kamili kama huu lakini watanzania ni wanafiki , wanaona ila wanazungukazunguka ukweli, ndio maana kujikomboa nchi hii ni tabu sana,
 
Genge la mafisadi likiongozwa na Kiranja wao mkuu JK ni tishio kwa ustawi wa hii nchi.

Mtandao wao umeshikamana kutoka ndani mpaka kwa waume zao mabeberu.

As a country, we need strong measures to keep these monsters at bay.

Nani anajua kwa hakika hawa ni watu wa aina gani na chimbuko lao ni lipi!!!
SOMA THREAD HII:

"SERIKALI NA MWAROBAINI WA MATATIZO YETU "

Jukwaa la siasa.
 
Huu mtandao wa wahuni ulioasisiwa na jk ndio umeifikisha nchi kwenye huu umaskini na bado wanataka kuendelea kutuibia.

Nchi hii haiwezekani kupata maendeleo mpaka awa wahuni wote wafe.
Kuweka kumbukumbu sawa hapa.
Tanzania ilikuwa maskini wa kutupwa kabla ya JK kuingia madarakani, ikaendelea kuwa maskini wa kutupwa wakati JK akiwa madarakani na imeendelea kuwa maskini wa kutupwa hata baada ya JK kuondoka madarakani.

Kwa kifupi sana, chini ya CCM Tanzania imeendelea kuwa maskini wa kutupwa tu. Mchawi hapa ni CCM. Bila kuiondoa CCM madarakani, Tanzania itabakia kuwa maskini milele.

Ujinga, unyonge na umaskini ndio mtaji na matunda ya kuwepo CCM madarakani hapa Tz.
 
Tumechelewa kwasasa, Naamin tulimsema vibaya Magufuli pasi kujua, hatukulinda ipasavyo John, Ni John ndo angeweza kuwepo mpaka uchaguzi wa 2025 ndo angeweza kuwafuta rasmi kwa kumleta mtu ambae angekuwa against na wao ila kwasasa tumechelewa.
Mkuu ukweli ndio huo,
 
Tanzania itakuwa huru hadi pale kizazi cha tanu kifutike chote kipindi ambacho generation Z ndio watakuwa senior citizens
Generation Z wanazaliwa na nani mkuu? Nao watafundishwa na wazazi wao na watayaendeleza,huu utumwa hauwezi kuja kuisha
 
Kuweka kumbukumbu sawa hapa.
Tanzania ilikuwa maskini wa kutupwa kabla ya JK kuingia madarakani, ikaendelea kuwa maskini wa kutupwa wakati JK akiwa madarakani na imeendelea kuwa maskini wa kutupwa hata baada ya JK kuondoka madarakani.

Kwa kifupi sana, chini ya CCM Tanzania imeendelea kuwa maskini wa kutupwa tu. Mchawi hapa ni CCM. Bila kuiondoa CCM madarakani, Tanzania itabakia kuwa maskini milele.

Ujinga, unyonge na umaskini ndio mtaji na matunda ya kuwepo CCM madarakani hapa Tz.
CCM ni ukoo hatari sana kwa nchi hii. Wamejiundia kamfumo wale vinono huko.
 
Hahahahaa
Boyz 2 Men - Tutakua nao mpaka
End of the road 2030
maana Wana special tour
Na wanampango wa kuingiza watoto zao kwenye Band na tutakua na
Boyz 2 Men juniors
Sukuma gang Kwisha habari Yenu na Ndio mshakatwa mikia hivyo!
Hamtaki mkufeeeeee!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi Lau Marsha Mzee wa nombe aliyekatwa mkia na ndege kwareeee? Yuko wapi?
 
hivi kwa sasa babu Lowassa ana chochote kule Chamani
 
Ni bora "Boys 2 Men" kuliko Magu..lile lilikuwa ni pepo. Afadhali aliyeliondoa
 
Tunawasubiri sukuma GANG muanze kutamka katiba mpya, mnakigugumizi sana.
Ila mtaongea tu siku moja kwa sauti katiba mpya.
Alipokuwepo Magu hawakutaka katiba mpya...kwa mziki wa Msoga soon wataanza na wenyewe kulilia katiba mpya. Majinga sana haya mapunda yanayoitwa sukuma Gang
 
Sukuma gang= uchawi, ulevi, umalaya, ujambazi, ulafi, ukatili, uchafu, uwizi , chuki, udhulmati na uonevu
Umesahau uuaji.mndio sifa yao kubwa, wakishirikiana na "watu wasiojulikana" ambao wanajulikana sasaiv
 
Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?

Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?

Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!

Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?

Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?

Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.

Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?

Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?

Naomba kuwasilisha.

Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
hawa ndo watafiwa na ccm mikonon na wataish maisha magumu sana kisiasa
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom