Ilongailunga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 1,388
- 896
Vipi ile 1.5 t ilishatolewa maelezo?Huu mtandao wa wahuni ulioasisiwa na jk ndio umeifikisha nchi kwenye huu umaskini na bado wanataka kuendelea kutuibia.
Nchi hii haiwezekani kupata maendeleo mpaka awa wahuni wote wafe.
Sukuma gang ndio wataipeleka .Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Twambie Kwanza,boys two men ni Akina nani? Utwambie nani ni Wanya,Nathan Morris na StockmanaHabari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Hakuna cha kusali wala nini,tuamke tuyachakate vipande vipande Sasa hivi.Mkuu hayo ni majoka ,,,yaliona ili yaibe yaanze na Mzee WA lupaso .Sasa hivi yanajitawala na yanakula yatakavyoo ..ni MDA WA kusali kila mmoja Kwa Imani yake ili siku Moja yafie kwenye kichuguu Kwa pamoja ( MTU Kama vice president & prime minister ni WA kukaaa kimya Kama vile hawapo.hii inatoka kuwa wameona mijoka mikubwa kwenye kichuguu ukileta za kuleta unaliwa kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana wameshatukamata tena?Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Mbona tulimpata magufuli naye akawa mwizi kwa mtutu wa bunduki.Mkuu, Ngungenge unafikiri hatuwezi kupata Bora zaidi ya hawa? Nchi ikasonga zaidi? Au watu milion 60, wao ndio vipanga tu!!
Unawapatia wapi? Kwa mfumo upi? Ulioandaliwa na nani? Unahusika vipi katika kuuandaa mfumo wa kumuandaa raisi?Mkuu, Ngungenge unafikiri hatuwezi kupata Bora zaidi ya hawa? Nchi ikasonga zaidi? Au watu milion 60, wao ndio vipanga tu!!
Nani anahusika na kumuandaa Rais ajaye?. Kina nani hao?Unawapatia wapi? Kwa mfumo upi? Ulioandaliwa na nani? Unahusika vipi katika kuuandaa mfumo wa kumuandaa raisi?
Tusipende porojo nyepesi nyepesi.
Raisi wa nchi wa miaka 10 ijayo mfumo unamuandaa sasa. Wa sasa aliandaliwa miaka 10 iliyopita hata aliyepita kwa mgongo wa Kudra aliandaliwa kwa hiyo nafasi ndo maana akawa hapo.
Swali: Ni nini unachofanya sasa katika mfumo wa kuandaa viongozi kuhakikisha raisi ajaye analelewa kufuata matakwa yako?
Kuna mfumo upo ambao ni kama bwana mipango wa nchi kwa miaka ya mbeleni. Huu mfumo kwa kushirikiana na usalama na Jeshi ndio unaofuta uwezekano wa pandikizi la raisi kutoka mataifa mengine.Nani anahusika na kumuandaa Rais ajaye?. Kina nani hao?
Kenya waliipiga chini KANU ila wakampa urais Uhuru mtoto wa muasisi wa KANU. Ni sawa na kuweka mvinyo mpya katika kiriba cha zamani.Dawa ni kuipiga chini CCM, miaka zaidi ya 60 kila siku ni porojo tu! Tuwape wengine nao wakizingua wapigwe chini! Ccm wamejipa hatikiliki ya nchi hii kwa hiyo wanafanya watakavyo! Ndio mana wanafunga watu kwa ajili ya kutetea katiba mpya!
Tumechelewa kwasasa, Naamin tulimsema vibaya Magufuli pasi kujua, hatukulinda ipasavyo John, Ni John ndo angeweza kuwepo mpaka uchaguzi wa 2025 ndo angeweza kuwafuta rasmi kwa kumleta mtu ambae angekuwa against na wao ila kwasasa tumechelewa.Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Juzi katika kongamano la kumuenzi Mzee Nauye, meza kuu, pale Ukumbi wa Chuo kikuu cha Dsm (UDSM)Tumechelewa kwasasa, Naamin tulimsema vibaya Magufuli pasi kujua, hatukulinda ipasavyo John, Ni John ndo angeweza kuwepo mpaka uchaguzi wa 2025 ndo angeweza kuwafuta rasmi kwa kumleta mtu ambae angekuwa against na wao ila kwasasa tumechelewa.
Wakaamua kujiweka waziJuzi katika kongamano la kumuenzi Mzee Nauye, meza kuu, pale Ukumbi wa Chuo kikuu cha Dsm (UDSM)
View attachment 2037326
Boys to Men ni Lowasa na kikweteTwambie Kwanza,boys two men ni Akina nani? Utwambie nani ni Wanya,Nathan Morris na Stockmana
Wewe umeongea kiume,Huu mtandao wa wahuni ulioasisiwa na jk ndio umeifikisha nchi kwenye huu umaskini na bado wanataka kuendelea kutuibia.
Nchi hii haiwezekani kupata maendeleo mpaka awa wahuni wote wafe.
Sio kwamba wao ndio wanawatoa wazuri ili wabakie wao?I wish iwe hivyo, ajab mungu anatutolea wazuri anatuachia mitihani
You are not serious hii nchi iliwahi kuwa tajiri?Huu mtandao wa wahuni ulioasisiwa na jk ndio umeifikisha nchi kwenye huu umaskini na bado wanataka kuendelea kutuibia.
Nchi hii haiwezekani kupata maendeleo mpaka awa wahuni wote wafe.
Vipanga gani wapumbavu na wachawi hao, waliwahi kuonyesha wapi positive impact ya elimu yao kwa taifa hili?Mkuu, Ngungenge unafikiri hatuwezi kupata Bora zaidi ya hawa? Nchi ikasonga zaidi? Au watu milion 60, wao ndio vipanga tu!!