Mkuu, naomba unielekeze wanapouza cadets au jeans za hizi brands: VICOBSS, SULAGE & SODA, MXSIMO DUTT, TOM FRODS, BELLNSGEA kwa uchache, kwa hiyo bei unayosema mkuu.Hapo ndio utachoka. Maduka ya Jumla kwa kariakoo cadets ni 15 hadi 20 mtu anauza 55?
Neio maana vinana wengi hii biashara ya nguo hua haikai muda inakufa sababu ya kutaka bei kubwa sana.
Staff jeans 50? Wakati zinauzwa 20 hadi 25 hapa Dar? Mbona balaa.
Mkuu, naomba unielekeze wanapouza cadets au jeans za hizi brands: VICOBSS, SULAGE & SODA, MXSIMO DUTT, TOM FRODS, BELLNSGEA kwa uchache, kwa hiyo bei unayosema mkuu.
Mawasiliano yangu haya hapa: 0738 589 389
Post kazi ulizo nazo ofisini na sio picha za mtandaoniV-neck sweater ya Kijivu + Cadets ya rangi ya vermilion,brand moncler [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119].Lipia 70,000 kwa zote mbili badala ya 85,000
Calls/Whatsapp : +255 738 589 389View attachment 1442145View attachment 1442146View attachment 1442147View attachment 1442149View attachment 1442150
Hiyo mikanda shingapiMikanda ya ngozi, now available [emoji119][emoji119][emoji119]
Karibuni
Calls/Whatsapp: 0738 589 389View attachment 1445510View attachment 1445511View attachment 1445512
Sawa mkuu, pamojaUngeweka na size au range ya suruali ulizo nazo ingependeza zaidi.
Upo sahihi kabisa mkuu.Tunajitahidi kuchukua thadhari kama tunavyoelekezwa na wataalamu wa afya.Bidhaa nzuri ila umekuja wakati wa mashaka, watu wanatahadhari ya mambo mengi, hii hali itakupunguzia wateja.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Tom Frods/VicobsTrouser[emoji119][emoji119] + Burbery/Polo Shirt(Long Sleeve) = [emoji95][emoji95]
Shirts size: M, L, XL, 2XL na 3XL
Trouser : 32 - 40
Lipia 75,000kwa zote mbili.Badala Ya 85,000
Karibuni
Calls/Whatsapp; 0624 366 385
[emoji3581][emoji3581][emoji3581] TOP QUALITY PRODUCTS ONLY[emoji3581][emoji3581][emoji3581]
View attachment 1447527View attachment 1447528View attachment 1447530View attachment 1447531View attachment 1447532View attachment 1447533