Braun Strowman demolishes a TV production truck: Raw, Jan. 15, 2018

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Jamaa kanyayua Semi wanasema ndiye mtu mwenye nguvu duniani.
 
Tatizo Jamaa ni giant...
kuna baadhi ya watu u-giant unawasaidia... angekua mshkaji tu wakimo cha kawaida kama akina ,Roman Reign ...sidhani kama angeweza....
 
Tatizo Jamaa ni giant...
kuna baadhi ya watu u-giant unawasaidia... angekua mshkaji tu wakimo cha kawaida kama akina ,Roman Reign ...sidhani kama angeweza....
Jamaa anatisha WWE Raw. Kurt Angle alimzingua jamaa anataka achukue ushindi kutoka kwa Brock Lesnar. Pambano litakalo fanyika la watu watatu. Lenyewe, Brock Lesnar na Kane.
Hili jitu linatisha. Roman Reign anajua alipigika siku moja mpaka nikamuhurumia. Hakuna wa kuligusa jitu hili
Nasubiri pambano hilo kwa hamu.
 
No...bora mm siamini kama brawn strman anatisha kiivyo, na wala hakumpelekesha reigns kiivyo yani kama ni asilimia waligawana 60 strman 40 reigns......

kama Strawman akimpiga round kadhaa Broc lesnar ntamkubali kuwa anatisha wwe....
Hata Raw team sidhani kama anaogopeka kiivyo au ndo analiongoza jahazi
kwakweli bado sijatoa credt kwake
 
Survivor Series ya mwaka jana hebu itazame. Raw vs Smackdown.
brock lesnar (Raw) vs Aj Styles (Smackdown)
Brock Lesnar alishinda lakini aliondoka uwanjani kwa kuchechemea. Ninauhakika
Kane, Braun strowman, brock lesnar Machi hiyo strowman anashinda.
 
Walisha pambana Broc akashinda......ila cha moto alikiona.....
 
Survivor Series ya mwaka jana hebu itazame. Raw vs Smackdown.
brock lesnar (Raw) vs Aj Styles (Smackdown)
Brock Lesnar alishinda lakini aliondoka uwanjani kwa kuchechemea. Ninauhakika
Kane, Braun strowman, brock lesnar Machi hiyo strowman anashinda.
Braun ana nguvu sana ........ ila Brock anatumia akili sana......kumbuka pambano lao...Braun alitumia nguvu sana mwishowe alipigwa.......
 
Brock lesnar ashamchapa strowman
 
yote yanawezekana let's see
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…