mkuu, umeanza kufuatilia lini wrestling? Samoa joe is best wrestler na yuko kwenye rank za akina kurt angle, brock lesnar, AJ style...and the list goes on and on! nimeangalia match zake zaidi ya 200 na jamaa ni yuko vizuri. Roman ameibuka juzi tu wakati Samoa akiwa kwenye gemu since 2002. kwa mfano, angalia finishing move ya Roman...ni super man punch and spear! ina maana ukiweza ku-encounter hizo move, atakuwa hana madhara. kwa upande wa samoa, he has various stuff akiwa ulingoni. amecheza/wrestle na wana mieleka wengi ambao Roman hatokuja kukutana nao, akiwemo hulk Hogan, sting, Big poppa pump/scott steiner etc...
Dogo, I am a wrestling god and i know what am talking. maybe wewe unawaona kwenye tv, but mimi nimekutana nao baadhi face 2 face