Bravo nao wamebebwa?

Bravo nao wamebebwa?

Mmmh!
Hapana, leo Simba kimtindo tumebebwa.
Kwa ile game ilivyochezwa, kuongezwa dakika 7 ilikuwa too much. Okay hiyo sio issue kubwa (labda ni jukumu la kamisaa), sasa zile dakika 7 zilipokwisha ilipaswa kipinga kipigwe kumaliza mpira (maana hakukuwa na ucheleweshaji wowote wa mpira), sasa Refa kuendelea tu kuchezesha mpira hata baada ya zile dakika 7 kwisha pasipo timu kujulishwa mpira utaisha dakika ya ngapi ile sio sahihi.
Wewe sio simba na wala sio shabiki wa mpira wewe na yule mchome hamna namna tofauti
 
Mmmh!
Hapana, leo Simba kimtindo tumebebwa.
Kwa ile game ilivyochezwa, kuongezwa dakika 7 ilikuwa too much. Okay hiyo sio issue kubwa (labda ni jukumu la kamisaa), sasa zile dakika 7 zilipokwisha ilipaswa kipinga kipigwe kumaliza mpira (maana hakukuwa na ucheleweshaji wowote wa mpira), sasa Refa kuendelea tu kuchezesha mpira hata baada ya zile dakika 7 kwisha pasipo timu kujulishwa mpira utaisha dakika ya ngapi ile sio sahihi.
Upo sawa mkuu, hata CAF na TFF weshafuta matokeo, Simba ana point 3. Refa kapewa adhabu, halafu kuna good news, Goli la Simba lililofungwa limehamia kwa uto, wana point 4.
 
FB_IMG_17342951939935107.jpg
 
  • Mshangao
Reactions: Tsh
Hii ni mechi ambayo tulipoteza dhidi ya Westham
Screenshot_20241216-003142.png


Mpaka dakika 90 zinatimia scoreboard ilikuwa inasoma 1-1. Refa alikuja kuongeza dakika 12 kufidia.
Screenshot_20241216-003929.png

Hizi dakika zingeongezwa kwenye ligi zetu hizi za kajamba nani basi timu iliyozidiwa lazima ingemchukia refa, wangemnunia na hata kuitikia salamu ya refa wangeikaushia.

Lakini hii mechi pamoja na kwamba ziliongezwa dakika 12 lakini filimbi ya mwisho ilikuja kupulizwa dakika ya 104 wakati huo tayari Westham wamepata bao la kuongoza dakika ya 92 kupitia mkwaju wa penalt.

Najua inakuwa inauma kwa timu ambayo ulikuwa unaiombea ifungwe kupata ushindi kwenye dakika za jioni ambazo wewe ulikuwa umeamini matokeo hayatobadilika.

Hiyo inatokeaga hata mimi juzi kwenye mechi ya Yanga na Mazembe niliumia sana Yanga kusawazisha dakika za jioni.

Kile kitendo kiliniuma sana, so trust me nayajua maumivu yenu kwenye hili goli la Kibu.

I want y'all to feel the same shit that I went thru.
 
Tumia akili kufikilia. Umepewa na mfano hapo juu na memba mmoja kuwa kuna mechi imeongezwa dakika 4 zingine baada ya dakika za nyongeza. Na hapo unasemaje?
Tangu lini huyo akawa na akili? Au humjui
 
Ni scenario mbili tofauti mzee,
Mechi ya Bravo, zimeongezwa dakika 4 na Bravo wakapata goli ndani ya hizo dakika 4 za nyongeza. Goli lilifungwa dakika 3 na sekunde zake hivyo dakika 4 inaingia tayari Bravo wanagoli. Kitendo cha refarii kupeleka mpira hadi dakika ya 7 anayeona hatendewi haki ni Bravo ila Constantine wao wanatamani zifike hata dakika 10 ili mradi wasawazishe.

Mechi ya Simba, kuna dakika 2+ zilizoongezeka hadi goli kufungwa
Afcon mechi, injury time ilikuwa hadi 10+
 
Nlivyoona umechambua uzi wa Janabi nilikuona upo vizuri kumbe wapi, ni popoma mmoja tu.
Jamaa yupo vizuri sana sio kwenye uzi wa Prof Janabi tu,but kwenye ushabiki wa Simba na Yanga huwa kuna tofauti ndogo sana kati ya profesa na maamuma
 
Ni scenario mbili tofauti mzee,
Mechi ya Bravo, zimeongezwa dakika 4 na Bravo wakapata goli ndani ya hizo dakika 4 za nyongeza. Goli lilifungwa dakika 3 na sekunde zake hivyo dakika 4 inaingia tayari Bravo wanagoli. Kitendo cha refarii kupeleka mpira hadi dakika ya 7 anayeona hatendewi haki ni Bravo ila Constantine wao wanatamani zifike hata dakika 10 ili mradi wasawazishe.

Mechi ya Simba, kuna dakika 2+ zilizoongezeka hadi goli kufungwa
Wakati mwingine unaweza kuongea ili jambo ukahisi upo sawa na ila uonekane upo vizuri kumbe ukaonekana kiazi....Nonesense arguments!
 
Kumbe kubeti kwenyewe hujui halafu unabishana, kubeti kabet kabla ya mchezo haujaanza. Sasa tubishane kwa fact sio unapayuka payuka hovyo

Tukio la kadi nyekundu
1) je Che Melon alikuwa ni mtu wa mwisho au hakuwa mtu wa mwisho?
2) je kanuni inasemaje kwa mtu wa mwisho?
3) kwanini refa asubirie hadi Che Melon aachwe ndio apulize kipyenga kwanini hakupuliza filimbi pale pale baada ya Melon kucheza faulo au angeacha tu advantage?


Dakika kuzidi 7
1) dakika zilizoongezwa zinaweza kuzidi kama kuna matukio ya kusimama kwa mchezo, je baada ya refa kuongeza zile dakika 7 kuna tukio lipi lililojotokeza la kufanya mchezo usimame?
2) umetoa mfano wa mechi ya Yanga vs Azam kuzidi kwa dakika za nyongeza, je umejiridhisha kuwa baada ya kuongezwa zile dakika 7 mpira haikusimama kwa matukio ya wachezaji kuumia, n.k?
Umeongea vitu vingi kwa pamoja kukimbia hoja,kuhusu kwamba Che Malone alikuwa mtu wa mwisho au la pamoja na sheria kuhusu mtu wa mwisho maana mmekaririshwa mengi sana kwenye hili fungua uzi tuje kuchangia huko.Huko utatueleza pia ilikuwaje Baca akapewa kadi nyekundu wakati hakuwa mtu wa mwisho kwenye mechi dhidi ya Azam.Hoja mezani ni dakika za nyongeza.Swali dogo ni refa aliwezaje kujua kuwa Simba baada ya dk 2 watafunga goli iwapo wameshindwa kufunga ndani ya zaidi ya dk 70 au unataka kusema asingemaliza mpira hadi Simba wafunge?Dakika zinazoongezwa huwa ni minimum au maximum? Wewe ulikuwa na stop watch kuhesabu matukio? kwa nini unajitesa namna hiyo?
 
Ingekuwa kuna hesabu minimum na maximum kwenye dakika za nyongeza mngelalamika kule Morocco kuwa mwamuzi kawaonea? Likiwakuta nyie mwamuzi kawaonea ila likiwa favor nyie mnasema kuna minimum na maximum kwenye dakika za nyongeza.
Kitendo cha kulalamika hakiondoi ukweli kuwa refa wa Morocco alikuwa sahihi,baadhi ya mashabiki wa Simba walikuwa wanalalamika kwa uchungu wa kufungwa tu,ni sawa na nyie mnaolalamika leo kwa uchungu wa Simba kushinda.
 
Mmmh!
Hapana, leo Simba kimtindo tumebebwa.
Kwa ile game ilivyochezwa, kuongezwa dakika 7 ilikuwa too much. Okay hiyo sio issue kubwa (labda ni jukumu la kamisaa), sasa zile dakika 7 zilipokwisha ilipaswa kipinga kipigwe kumaliza mpira (maana hakukuwa na ucheleweshaji wowote wa mpira), sasa Refa kuendelea tu kuchezesha mpira hata baada ya zile dakika 7 kwisha pasipo timu kujulishwa mpira utaisha dakika ya ngapi ile sio sahihi.
Mademu mmejiingiza kwenye soka kuna vitu hamuelewi.
Hizo dakika ziliongezwa kwa wote wacheze.Hawakuwa wamama wajawazito kama unavyowahurumia.
Kama walikuwa na uwezo walipaswa kushinda wao
 
Ni scenario mbili tofauti mzee,
Mechi ya Bravo, zimeongezwa dakika 4 na Bravo wakapata goli ndani ya hizo dakika 4 za nyongeza. Goli lilifungwa dakika 3 na sekunde zake hivyo dakika 4 inaingia tayari Bravo wanagoli. Kitendo cha refarii kupeleka mpira hadi dakika ya 7 anayeona hatendewi haki ni Bravo ila Constantine wao wanatamani zifike hata dakika 10 ili mradi wasawazishe.

Mechi ya Simba, kuna dakika 2+ zilizoongezeka hadi goli kufungwa
Ila ukibishana na shabiki wa utopolo,unaona kabisa upumbavu wenu ulipo.
Basi hata ukubali Simba ni timu kubwa sio wanyonge Afrika
 
Mmmh!
Hapana, leo Simba kimtindo tumebebwa.
Kwa ile game ilivyochezwa, kuongezwa dakika 7 ilikuwa too much. Okay hiyo sio issue kubwa (labda ni jukumu la kamisaa), sasa zile dakika 7 zilipokwisha ilipaswa kipinga kipigwe kumaliza mpira (maana hakukuwa na ucheleweshaji wowote wa mpira), sasa Refa kuendelea tu kuchezesha mpira hata baada ya zile dakika 7 kwisha pasipo timu kujulishwa mpira utaisha dakika ya ngapi ile sio sahihi.
Team za Northern Africa Zina I ujinga wa kupoteza muda pale mchezo unapowaendea sawa na malengo yao.
...kwamba wee poteza muda tu ndani ya dk 90, ila zitakazo ongezwa kufidia upotevu zitumie kisawasawa, kwani ni chache na zinahimilika!...
 
Ni scenario mbili tofauti mzee,
Mechi ya Bravo, zimeongezwa dakika 4 na Bravo wakapata goli ndani ya hizo dakika 4 za nyongeza. Goli lilifungwa dakika 3 na sekunde zake hivyo dakika 4 inaingia tayari Bravo wanagoli. Kitendo cha refarii kupeleka mpira hadi dakika ya 7 anayeona hatendewi haki ni Bravo ila Constantine wao wanatamani zifike hata dakika 10 ili mradi wasawazishe.

Mechi ya Simba, kuna dakika 2+ zilizoongezeka hadi goli kufungwa
Aliamua kufuta kejeri na dharau za waraabu,watu wale wanaleta dharau sana,wanamcheka Hadi refa imagine that.
 
Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa Washabiki wa CS Sfaxien wa hapa nchini ambao hawajui sheria za mpira kwamba ni lazima mpira uchezwe dk zote 90.Na pia hajui kuwa dk zinazoongezwa huwa ni kwa timu zote mbili.Simba pia wamewahi kufungwa goli na Wydad dk ya 95 wakati dk zilizoongezwa zilikuwa 4.Tazama mechi kati ya Bravo vs Constatine, dk zilizoobgezwa ni 4 lakini mpira umechezwa hadi dk ya 8
Utopolo kwenye soka ni zero brain hata mpewe mifano 100.
 
Back
Top Bottom