Braza wangu na familia yake leo wamerudi tena kanisa katoliki kutoka ufufuo na uzima.

Braza wangu na familia yake leo wamerudi tena kanisa katoliki kutoka ufufuo na uzima.

Nyankuru Wankuru

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2018
Posts
1,199
Reaction score
1,346
Hawa ndugu zangu walihamia mazima kanisa la ufufuo na uzima linalomilikiwa na gwajima tena waliondoka kwa kuliponda na kulidharau kanisa katoliki.

Leo wamerejea kanisa katoliki la mitume mara baada ya vidio ya ya ngono uzembe inayodhaniwa na watu wengi kuwa ni ya mchungaji wao kuvuja.
 
Jiwe na Bashite wamemmaliza mazima Gwajima,ogopa kitu kinaitwa ujasusi.
Bashite asingeweza msamehe gwajima kirahisi namna ile.
Kiujumla Gwajima hana tena uhalali wa kusimama madhbahuni na kukemea uzinzi.
Watu wamemtegeshea msichana mrembo na amenasa mazima.
 
Jiwe na Bashite wamemmaliza mazima Gwajima,ogopa kitu kinaitwa ujasusi.
Bashite asingeweza msamehe gwajima kirahisi namna ile.
Kiujumla Gwajima hana tena uhalali wa kusimama madhbahuni na kukemea uzinzi.
Watu wamemtegeshea msichana mrembo na amenasa mazima.
Kategeshewa vipi na mtu anajirekodi mwenyewe mkuu?
 
Alijirekodi mwenyewe ujue
Jiwe na Bashite wamemmaliza mazima Gwajima,ogopa kitu kinaitwa ujasusi.
Bashite asingeweza msamehe gwajima kirahisi namna ile.
Kiujumla Gwajima hana tena uhalali wa kusimama madhbahuni na kukemea uzinzi.
Watu wamemtegeshea msichana mrembo na amenasa mazima.
 
Hivi unavyoiona hiyo video unafikiri ndio ilikuwa mara yao ya kwanza kubanjuka?walishabanjuka na kuzoeana ndivyo inavyokuwa,kama hujui ujasusi pia soma historia ya samsoni na delila utanielewa vzr.
Hata madem wa kitaa wny elimu za form 4 tu wanajua athari za kujirecord....aje kuwa Gwajima. Kuna tatizo mahali
 
Kwa hiyo amarudi kuja kujisalimisha kwako mke wa mzee wa kanisa ama?

Anyaway, kitu kinaitwa Mungu hakipo, hakuna kitu kama hicho. Dini ni utapeli kama utapeli mwingine.

Huku wachungaji wanakula waumini huku mapadri wanafira wanaume na vijana wote wa kiume kanisani, kule imamu na shehe wanabaka watoto wadogo. Yote hiyo ni mchungaji kula kondoo wake.

Gwajima endelea kuwapiga miti.
 
Kwa hiyo wewe ndio unajiona jasuuuuuuuusi mwenyewe?

Hebu acheni utani jamani. Baba mchungaji kajikwaa kaanguka full stop. Hakuna cha ujasusi wala nini. Shit happens in life. Awe mpole yatapita
Ww hujui ujasusi ni nini kwa hiyo wakati mwingine unakaa kimya kwa kitu usichokijua.
 
Hawa ndugu zangu walihamia mazima kanisa la ufufuo na uzima linalomilikiwa na gwajima tena waliondoka kwa kuliponda na kulidharau kanisa katoliki.

Leo wamerejea kanisa katoliki la mitume mara baada ya vidio ya ya ngono uzembe mchungaji wao kuvuja.
Wana wapotevu
 
Jiwe na Bashite wamemmaliza mazima Gwajima,ogopa kitu kinaitwa ujasusi.
Bashite asingeweza msamehe gwajima kirahisi namna ile.
Kiujumla Gwajima hana tena uhalali wa kusimama madhbahuni na kukemea uzinzi.
Watu wamemtegeshea msichana mrembo na amenasa mazima.
Hilo tego la kufa mtu hadi kajirekodi mwenyewe. Daah Mungu amtie nguvu.
 
Back
Top Bottom