Brazil: Mama amuua mtoto wake kwa sababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Kuna watu wanatafuta mtoto wa kiume hawajampata kilahisi na hata walivyompata anakwa wa tabia za ajabu ajabu mpaka anamyia hasira aliyekuwa anamtafuta akijuta kumtafuta mwishoanambulia kuua , lakini mimi nasema safi tu kwa nini angeuze choo kama kiburudisho cha wanaume wenzie
 
Kama ni kweli Mungu yupo kwa nini huwa haachiwi kudeal na situation kama hizo? Kama Mungu yupo na mtoto akawa shoga basi muachie Mungu yeye mwenyewe atoe adhabu!
Kama mwalimu yupo na hakupi mtihani ukiwa na majibu anakuachia ujibu mwenyewe kwa nn MUNGU Nae Asikuache ?!!!..
 
Nimesema kijana akapumzike kwa amani ndoto na maisha yake yamekatishwa bila ya yeye kuwa na hatia yoyote.
Huyo mama yake ni muuaji tu kama wauwaji wengine na ingebidi ANYONGWE HADI KUFA!
Huo USENGE/UKHANITHI Kwako Sikosa lolote [emoji134][emoji134][emoji134]
 
Kutokuuliwa hao wengine haimaanishi kama hawa wengine kuuliwa sio halali


Mama wa muuaji ana akili KUBWA Sanaaaa
 
Je una mtoto shoga? Tujulishe fasta tumuhifadhi
 
namuunga mkono motto choko wa nini sasa.?
 
So sad. Pumzika kwa amani kijana
Huyo mama ingebidi apewe adhabu ya kifo.
Huyu mama namuunga mkono kwa asilimia mia Tisa
Acheni kutoa mawazo ya kukurupuka mnaosoma maandiko Matakatifu kati ya wanafunzi walimuuliza Yesu ni dhambi gani iliyokubwa akawaambia dhambi zote ni sawa mbele za Mungu wachawi,waongo,wasagaji wazinifu ,wasema uongo wezi na mengine yanayofanana nayo adhabu yao ni ziwa la moto na ndio maana Musa akashushiwa zile amri na Mungu ili mwanadamu azifuate kinyume na hapo ni moto
 
We ni shoga?
 
Mungu ndie wa kuhukumu si huyo mama
 
Nasikia Jamaa mmoja aliuliwa na Baba yake baada ya kutumia vifaa vya Kanisa kuimbia wimbo wa Sexual healing (sina ukweli wa story hii?

Nashukuru kuona kuna wazazi bado wako vizuri
Si kweli, tatizo mtoto alifanya onyesho sehem ikaja cheque, kama ujuavyo Baba na mtoto walikuwa na jina moja, Baba akang'ang'ania Ile cheque na kudai ni yake, mtoto akamuuliza Baba kwa kipi ilichokifanya hadi upate hiyo cheque? Baba akaona isiwe shida akamtwanga risasi mwanae hiyo nyingine labda ilikuwa ni baba kukwepa Sheria isimtie hatiani, ukweli ndio huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…