Brazil: Mama amuua mtoto wake kwa sababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Brazil: Mama amuua mtoto wake kwa sababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Tatiana Pereira amehukumiwa jela miaka 25 na miezi nane kwa kumuua makusudi mwanae wa kiume aliyefahamika kwa jina la Lozano (17) kisa ni shoga ambapo hakupendezwa na sexuality ya mwanae huyo.

Awali, mwanamke huyo aliwakodi jamaa wawili kwa majina ya Victor da Silva na Miller da Silva Barissa ili wamuue mwanae huyo. Jamaa hao(thugs) walimshushia kichapo kijana huyo hata hivyo walighairi kumuua ambapo mama mtu kuona hivyo alimua kuingia mwenyewe mzigoni kummaliza kumtoa uhai mwanae.

Akiwa Mahakamani mwanamke huyo amekiri kuua, lakini amepinga kumuua mwanae sababu ya kuwa shoga kwa kudai mwanae huyo alimtishia kumuua ndipo akamuwahi yeye.

Hata hivyo, Daria, baba mdogo/mkubwa wa Lozano akihojiwa na kituo cha TV nchini humo amempinga shemeji yake huyo kwa kusema, Lozano alikuwa ni kijana mpole, mwenye heshima na msikivu pia tayari alikuwa anafanya kazi, isipokuwa tatizo lake ni hiyo sexuality yake na siku zote mama mtu hakupendezwa na ndio sababu ya kumuua

Kwa upande mwingine jamaa waliokodishwa kumuua wao wamehukumiwa jela miaka 21 na miezi nane.
Alicho Fanya huyyo mama ni sahih kwan mungu hakukosea kuumba jinsia mbili tofauti. Dunia inapoelekea tunatafuta laana km enzi za kaum lut
 
Culture Me hebu njoo shuhudia viwango vya juu kabisa vya unafiki wa watanganyika!

It is amazing!

Mpaka wafiraji na wafirwaji nao wanakemea ushoga!

Makahaba, walawiti, wanajisi wa watoto, mafuska, watoa mimba na malaya nao wanakemea ushoga!

Hahahaaaaa...
 
Nasikia Jamaa mmoja aliuliwa na Baba yake baada ya kutumia vifaa vya Kanisa kuimbia wimbo wa Sexual healing (sina ukweli wa story hii?

Nashukuru kuona kuna wazazi bado wako vizuri

yah marvin gaye dingi yake alimtwanga risasi hakuataka upuuzi kabsaaa!!!
 
Halafu kwa Mungu anapata thawabu kwa kutenda JAMBO jema sana. Mungu amzidishie UHAI huyu mama, kapunguza IDADI ya wapumbavu duniani. Binafsi namuunga mkono, Mk**du ni njia ya haja kubwa na sio UZAZI
Tuanze na hili janga la wanaume kuf1ra wanawake maana imekuwa ni balaa. Mk**du ni njia ya haja kubwa na sio uzazi!
 
Na wewe kama mama yako angekuua kipindi anakuzaa leo kauli hii unayoitoa hapa ungeitoa??-- au ungeitolea kuzimu??!🤣🤣
Cool down mkuu kumbuka aliyekufa ni shoga wa kibrazil na nywele zake tayari zishatengenezwa wigi atakalovaa mke wako pasaka sasa hasira za nini
 
Back
Top Bottom