Brazil: Mama amuua mtoto wake kwa sababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Brazil: Mama amuua mtoto wake kwa sababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Cool down mkuu kumbuka aliyekufa ni shoga wa kibrazil na nywele zake tayari zishatengenezwa wigi atakalovaa mke wako pasaka sasa hasira za nini


Hasira ni ushoga wake wewe inakuuma nini hadi umuhukumu kifo??!!-- domo lako chafu linanuka kwa matusi kama choo cha stendi ya abiria.

Hakuna mtu mwenye akili sawa anayependa ushoga lakini adhabu ya ushoga ni KIFO??.

Yesu aliwaambia mayahudi kwamba "asiyekuwa na dhambi na ajaribu kumtupia jiwe yule kahaba"-- mbona wote walikimbia,🤣🤣, sasa wewe unajifanya ni "alien" umetoka mbinguni na hauna dhambi !!!!.
 
Hasira ni ushoga wake wewe inakuuma nini hadi umuhukumu kifo??!!-- domo lako chafu linanuka kwa matusi kama choo cha stendi ya abiria.

Hakuna mtu mwenye akili sawa anayependa ushoga lakini adhabu ya ushoga ni KIFO??.

Yesu aliwaambia mayahudi kwamba "asiyekuwa na dhambi na ajaribu kumtupia jiwe yule kahaba"-- mbona wote walikimbia,[emoji1787][emoji1787], sasa wewe unajifanya ni "alien" umetoka mbinguni na hauna dhambi !!!!.
Mashoga adhabu zao kifo tu hakuna namna yaan...............

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He he! Ambacho sikielewi hapa ni hiyo mahakama inatetea uhai au ushoga au vyote viwili!!!!
Waafrika tukopi Mambo ya maana lkn mengine tuwaachie wenyewe wenye mahakama za haki.
Labda utambue jambo moja, serikali yoyote inasimamia uhai wa watu ndio maana ukimuua mwizi unashitakiwa, pale kinachotazamwa ni uhai peke yake hayo mambo mengine ya ushoga, wizi hua ni agenda tunayoiita mengineyo.

Ila by any reason mtu hatakiwi kuuwawa bila taratibu za kisheria kufuatwa (kwa mfano Waliohukumiwa kunyongwa kwa mujibu wa sheria) kutokana na makosa waliyotenda, sasa ukikutana na mtu aliyehukumiwa kunyongwa ukamuua bado utachukuliwa hatua za kisheria kwakua umemuua japo alikua kashahukumiwa kunyongwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umefurahi yeye kufungwa kisa nawewe shoga?


Huyo mama ni mjinga sana, kitendo cha mtu kuwa shoga ni jambo binafsi la fedheha na aibu sana lakini kitendo cha kuua mtu ni ukatili mkubwa sana tena unaua mwanao wa kumzaa!!??.

Majuto ni mjukuu, mtu mwenye akili hufikirii kabla hujatenda na mwehu hufanya mambo ya kiuenda wazimu.

Hata wewe inaonekana ni mwehu kama huyo shemeji yako.🤣
 
Huyo mama ni mjinga sana, kitendo cha mtu kuwa shoga ni jambo binafsi la fedheha na aibu sana lakini kitendo cha kuua mtu ni ukatili mkubwa sana tena unaua mwanao wa kumzaa!!??.

Majuto ni mjukuu, mtu mwenye akili hufikirii kabla hujatenda na mwehu hufanya mambo ya kiuenda wazimu.

Hata wewe inaonekana ni mwehu kama huyo shemeji yako.[emoji1787]
Kuu mwanao ambae nishoga nizaidi ya ushujaa wakupigiwa mfano na kila mwana wa adam

Mungu Atunusuru Ila Kua Na Mtoto Chakula Bora Kukosa Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mama ni mjinga sana, kitendo cha mtu kuwa shoga ni jambo binafsi la fedheha na aibu sana lakini kitendo cha kuua mtu ni ukatili mkubwa sana tena unaua mwanao wa kumzaa!!??.

Majuto ni mjukuu, mtu mwenye akili hufikirii kabla hujatenda na mwehu hufanya mambo ya kiuenda wazimu.

Hata wewe inaonekana ni mwehu kama huyo shemeji yako.🤣
Inauma sana kuwa na Toto linakobolewa
 
Mimi naona wasiuawe mashoga tu, mtu yeyote akifanya dhambi yoyote auawe. Hakuna kuleana
 
hii habari inatufundisha hata kule ambako tunaamini ushoga umehalalishwa au kuenea kwa kiasi kikubwa bado unapingwa mama hakuridhika na tabia ya mwanae ingawa adhabu aliyochukua ilikuwa kubwa mno
 
Makofi matatu pa! Pa! Pa!, hongera sana mama, ni bora kuvunja sheria nchi zilizokubaliwa na mungu kuliko kufanya kinyume,,,,

Ukristo biblia inasema ataelala na mwanaume mwenzie ana haki ya kuuliwa na huko kwa waislamu sina shaka wanakataza ushoga.

Yani hata makonda namchukia sana ila nilivyosikia kakatazwa kwenda marekani kwasababu ya kuwanyanyasa mashoga wa dar ghafla nikamuona makonda ni shujaa anaelinda maadili,

Yani unazaa mwanaume alafu uje kusikia kaelowa, Pumbafuuu!!!! Ije itokee nmepewa rungu la madaraka kushughulikia hawa viumbe ntawamaliza kama kuku
 
Kama ni kweli Mungu yupo kwa nini huwa haachiwi kudeal na situation kama hizo? Kama Mungu yupo na mtoto akawa shoga basi muachie Mungu yeye mwenyewe atoe adhabu!
Yupo. Na yeye ndie aliyeumba tatizo hilo na pia akatufundisha jinsi ya kulitatua.
Mama la mama kashatatua. 100%

Japokua mambo kama haya ilitakiwa serikali itatue yenyewe

Sent from my SM-A107F using Tapatalk
 
Yupo. Na yeye ndie aliyeumba tatizo hilo na pia akatufundisha jinsi ya kulitatua.
Mama la mama kashatatua. 100%

Japokua mambo kama haya ilitakiwa serikali itatue yenyewe

Sent from my SM-A107F using Tapatalk
Mungu mwenye upendo wote, uwezo wote,huruma yote na nguvu zote kama anavyohubiriwa na dini zote, mataifa yote na makabila yote angekuwepo asingeweza kuumba tatizo ambalo utatuzi wake ni mauaji!
 
Mungu mwenye upendo wote, uwezo wote,huruma yote na nguvu zote kama anavyohubiriwa na dini zote, mataifa yote na makabila yote angekuwepo asingeweza kuumba tatizo ambalo utatuzi wake ni mauaji!
Ndie yeye mwenye huruma sana na pia ana hasira sana, kaumba Dunia na vilivyomo na mbingu na vilivyomo ndani yake, hana mshirika katika hilo.

Akaumba yaliyo mema na akaumba ya shari pia akampa mwanadamu akili na akamfunza jema ili alifanye na baya ili aliepuke. Kwa hiyo yote yanatoka kwake, anayoyapenda yeye katufundisha pia anayoyachukia(japokuwa kayaumba yeye) katujuza pia.

Na akutufunza hukumu.

Na yeye ndie ambae haojiwi na yeyote bali yeye ndie mwenye kuhoji(kwa nini? Kwa ajili gani). hayo huwezi muhoji wewe, we nani!?


Isitoshe hakuna mwanadamu au jini mwenye akili iliyotimia anayeweza kupinga hilo, bali wale wenye kujitoa akili na wakajiita wanafalsafa!!

Ukimuuliza huyo(mwanafalsafa)! Je hiyo simu unayotumia imetokea gafla tu, haina mtengenezaji... yaani imetokea tu paaaap hili hapa li smart, tunaliita 'iPhone 11' na halina mtengenezaji? Atakushangaa na atakataa huku akikuambia haiingii akilini...!

Ukitaka Ujue akili zao zimepumbazwa, ni utakapomuambia, "kama kitu hichi kidogo umesema hakiwezekani Bila mtengenezaji! Vipi Udai kua dunia yote hii na walimwengu wake wakose aliyewaumba?"
Bila shaka hili ndilo haliingii akilini kabisaaaa.

Sent from my SM-A107F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom