Brazil: Mama amuua mtoto wake kwa sababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Dunia haiwezi kua na amani kama kila mtu afanye anachokitaka.

Mola wetu katuumba na akatufundisha kwa njia nyingi. Hata hukumu katufundisha. Japo wengi katika watu, tumeacha hukumu zake tukaleta zetu ambazo kila uchwao zinapitwa na wakati coz zimetoka kwa asiye mkamilifu.

Mfano: tunadai uhuru wa matashi!
Mbona mwizi akiiba mnamfunga? Je yeye mwizi hajapenda uhuru huo? Kama kaupenda kwa nini mnamfunga?

Hivyo hivyo, mola wetu katupa uhuru ambao unaendana na maslahi yetu sote, mwanaume uhuru wake uishie kwenye uanaume, sio eti akajigeuze demu, hapo uhuru umeisha anahitaji tiba. Na Tiba sahihi kabisa ni yeye kuondolewa... hasa hasa wale waliozoea kujifanya wanawake, hawawezi kuacha haka katabia kachafu.

Sent from my SM-A107F using Tapatalk
 
Akimaliza kifungo lazima atazuiwa kuingia marekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wamemfunga kwa kosa lipi wakati kaua mtoto wake wa kuzaa

Jinga kweli wewe

Kwavile umezaa mwanadamu una ruhusa ya kumuua utakavyo?

Kwa katiba ya wapi hiyo?

Mtoto wako sio mfugo wako,hebu acheni hizi roho za animals!

Na wewe wazazi wako wana haki ya kukuchinja?

Sijui shule mlienda kuelimika kweli?
 
Uislam ndio unakufunza hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona wasiuawe mashoga tu, mtu yeyote akifanya dhambi yoyote auawe. Hakuna kuleana
Hapana mkuu, sio kila kosa/dhambi ni la kuuawa.

Ila hili la ushoga na mfano wake Linafaa kwa adhabu hiyo ili kulinda maslahi ya dunia kiujumla.

Utashangaa baadhi ya watu wanaropoka wakisema, "MSIWAHUKUMU WATU, WATAHUKUMIWA NA MOLA WAO"...

Mbona mwizi akiiba mnamuhukumu au nyinyi ni mola wake?

Ajabu sana akili hizi finyu.!!!


Sent from my SM-A107F using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…