bruno castol
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 1,046
- 661
Umeharibu tu uliposema kuhusu kz tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kazi tu ..... ... ... ... ... ... .., sijaelewa kazi gani hasa inayozungumziwa hapa.
bado kiza kinene, wakati wa pombe si wakati wa kazi, ama unamaana hapa kazi tu hamna pombe, kupata suluhu ni majaliwa.😀 huwenda anamaanisha raic pombe
Wivuu wakibongoo ndioomaana mnapigana misumariii....wabongo bana...watu wa vitu kidogo...mtu hajashinda imekua breaking news duh!...akirudi mpelekeni bungeni pia...ama ikulu akapewe mkono na mkulu...LOL...tunaporidhika na vitu vidogo kamwe vikubwa itakuwa ndoto kuvipata...tuwaige wakenya....tuko nao jirani....tunafanana kimaumbile...hali ya hewa kwao kama kwetu...mbona wao wanaongoza kwa bara la Africa???....tusipojiuliza na kupata majibu...na kuyafanyia kazi tutabaki kuwa wasindikizaji...huku tukijisifu....
Hongera sana Simbu, japo hukupata medali lakini umeonesha nia ya kuitetea nchi yetu.Mtanzania Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 Marathon Olympics, haijapita kutokea.
Juma Ikangaa aliwahi kushika nafasi ya 6. Mtangazaji alisema they say in Tanzania Hapa Kazi Tu!!
Kumbe slogan ya JPM imesambaa ulimwengu mzima. Congrats Simbu
View attachment 385364
ALPHONCE FELIX SIMBU NA WENZAKE WATAWASILI TANZANIA TAREHE 25 AUGUST, SIKU YA ALHAMISI SAA NANE KAMILI MCHANA.
Kwa vipi?Tuwe wakweli hio nafasi haina maana kwa taifa kama Tanzania
Commentator Mkenya.commentator alikuwa mzungu
Tumeambia nafasi yake lakini medali aliopewa mbona hatuambiwi?Kwa vipi?
Tunajifariji. Kwenye olimpiki wanahesabu medali zilizotwaliwa sio kujitahidi. Zipo tatu, Dhahabu, Fedha na Shaba. Sasa hapo tumetwaa ipi? Je, tulipeleka timu kujaribu au kushindania medali? Tukubali tu kuwa tumeshindwa, tuchambue udhaifu wetu halafu tupange mikakati inayotekelezeka ya kutwaa medali kwenye mashindano yajayo. Tuache kujidanganya.
Acha kubeza mbona wewe hukwenda mwakani nenda wewe km unadhani kufukuza upepo ni rahisiTunajifariji. Kwenye olimpiki wanahesabu medali zilizotwaliwa sio kujitahidi. Zipo tatu, Dhahabu, Fedha na Shaba. Sasa hapo tumetwaa ipi? Je, tulipeleka timu kujaribu au kushindania medali? Tukubali tu kuwa tumeshindwa, tuchambue udhaifu wetu halafu tupange mikakati inayotekelezeka ya kutwaa medali kwenye mashindano yajayo. Tuache kujidanganya.
😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉Acha kubeza mbona wewe hukwenda mwakani nenda wewe km unadhani kufukuza upepo ni rahisi
hahahaKwa nafasi hio labda apewe medali ya copper.
Aidha serikali itambue kuwa kina Samsoni Ramadhani na Isegwe waliowahi kushinda medali ni watoto wa sgd.Huyo simbu sijui Sara Ramadhani ni wa sgd.Sasa kulikuwa na sababu kweli ya kuweka kambi kilimanjaro? Unaweka watu kambini hamna hata chakula unategemea nini,SERIKALI WEKEZENI IKUNGI! Kama hatujapata medali kibao tu.
hatariKulikuwa na wakenya watatu, wawili walishndwa kumaliza. Hata hifyo kulikuwa na jamaa anaitwa Evans Kiplagat ambaye naamini ni mkenya kwa sura na kwa jina, lakini alitangazwa kama mtu wa Azerbaijan!.
Watanzania wote watatu walimaliza ila mmoja alikuwa wa mia moja na ushee huko, yaani karibu sana na mkiani!
bado kiza kinene, wakati wa pombe si wakati wa kazi, ama unamaana hapa kazi tu hamna pombe, kupata suluhu ni majaliwa.