BRAZIL: Mtanzania, Felix Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 katika Marathon za Olimpiki

BRAZIL: Mtanzania, Felix Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 katika Marathon za Olimpiki

....wabongo bana...watu wa vitu kidogo...mtu hajashinda imekua breaking news duh!...akirudi mpelekeni bungeni pia...ama ikulu akapewe mkono na mkulu...LOL...tunaporidhika na vitu vidogo kamwe vikubwa itakuwa ndoto kuvipata...tuwaige wakenya....tuko nao jirani....tunafanana kimaumbile...hali ya hewa kwao kama kwetu...mbona wao wanaongoza kwa bara la Africa???....tusipojiuliza na kupata majibu...na kuyafanyia kazi tutabaki kuwa wasindikizaji...huku tukijisifu....
Wivuu wakibongoo ndioomaana mnapigana misumariii
 
Kunawatuu wakonje sikuzote wanaogopa hata kujenga kibanda kwao sababu ya misumari ya watanzania wakijenga wanaweza wasilale ndani
 
Mtanzania Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 Marathon Olympics, haijapita kutokea.

Juma Ikangaa aliwahi kushika nafasi ya 6. Mtangazaji alisema they say in Tanzania Hapa Kazi Tu!!

Kumbe slogan ya JPM imesambaa ulimwengu mzima. Congrats Simbu

View attachment 385364

ALPHONCE FELIX SIMBU NA WENZAKE WATAWASILI TANZANIA TAREHE 25 AUGUST, SIKU YA ALHAMISI SAA NANE KAMILI MCHANA.
Hongera sana Simbu, japo hukupata medali lakini umeonesha nia ya kuitetea nchi yetu.
 
Unafiki wetu basi , kauli hapa kazi tu imepewa uzito zaidi ya tukio la Simbu kushinda nafasi ya tano. Nimeshangaa hadi Azam tv imeipa habari ya mtangazaji kusema hapa kazi uzito usiostahili. Mtangazaji Mkenya hivo kauli hapa kazi sio ngeni kwao ,ni majirani wetu.
 
Tunajifariji. Kwenye olimpiki wanahesabu medali zilizotwaliwa sio kujitahidi. Zipo tatu, Dhahabu, Fedha na Shaba. Sasa hapo tumetwaa ipi? Je, tulipeleka timu kujaribu au kushindania medali? Tukubali tu kuwa tumeshindwa, tuchambue udhaifu wetu halafu tupange mikakati inayotekelezeka ya kutwaa medali kwenye mashindano yajayo. Tuache kujidanganya.
Tunajifariji. Kwenye olimpiki wanahesabu medali zilizotwaliwa sio kujitahidi. Zipo tatu, Dhahabu, Fedha na Shaba. Sasa hapo tumetwaa ipi? Je, tulipeleka timu kujaribu au kushindania medali? Tukubali tu kuwa tumeshindwa, tuchambue udhaifu wetu halafu tupange mikakati inayotekelezeka ya kutwaa medali kwenye mashindano yajayo. Tuache kujidanganya.
Acha kubeza mbona wewe hukwenda mwakani nenda wewe km unadhani kufukuza upepo ni rahisi
 
Aidha serikali itambue kuwa kina Samsoni Ramadhani na Isegwe waliowahi kushinda medali ni watoto wa sgd.Huyo simbu sijui Sara Ramadhani ni wa sgd.Sasa kulikuwa na sababu kweli ya kuweka kambi kilimanjaro? Unaweka watu kambini hamna hata chakula unategemea nini,SERIKALI WEKEZENI IKUNGI! Kama hatujapata medali kibao tu.

..wanatakiwa wafanye mazoezi eneo ambalo lina muinuko (high altitude).

..hewa ktk maeneo hayo ni nyepesi hivyo mwanariadha hujenga stamina zaidi.

..kambi ya riadha kwa Tz inatakiwa iwe maeneo ya Mbulu, Kilimanjaro, au popote pale penye muinuko.

..baada ya kutoka huko kambini walitakiwa wa-simulate tena hiyo marathon ktk eneo ambalo kuna hali ya hewa kama ya Rio.
 
Kulikuwa na wakenya watatu, wawili walishndwa kumaliza. Hata hifyo kulikuwa na jamaa anaitwa Evans Kiplagat ambaye naamini ni mkenya kwa sura na kwa jina, lakini alitangazwa kama mtu wa Azerbaijan!.

Watanzania wote watatu walimaliza ila mmoja alikuwa wa mia moja na ushee huko, yaani karibu sana na mkiani!
hatari
 
Anajua tu kusupport wa kina wema na vi app vyao uchwara badala ya kupanga mikakati ya vijana wetu kwenye michezo.
 
Sasa tumezidi. Fikiria kijana mdogo anayefuatilia mijadala kama hii...

Anafuatilia tunavyomshangilia na kumsifia mkimbiaji aliyeshindwa kupata medali Olimpiki kwa kisingizio kashika nafasi ya tano na hivyo kajitahidi!

Anafuatilia tunavyoshangilia na kuwasifu polisi wetu ambao badala ya kutulinda tukidai haki zetu wanatupiga risasi na kutuua kwa kisingizio cha kudumisha amani!

Anafuatilia tunavyomshangilia, kumsifia na kumtetea kiongozi wetu uchwara anayevunja katiba ya nchi kwa kisingizio cha hapa kazi tu!

Anafuatilia utumbuaji majipu huku EPA, IPTL, Richmond, Kagoda, ESCROW, majumba ya serikali, kivuko chakavu, Meremeta, Lugumi n.k. zikiwa pale pale!

Anafuatilia tunavyokuwa wepesi kuridhika na hali duni huku hazina tunazo, rasilimali tunazo, watu tunao, ardhi tunayo n.k. kwa kisingizio tu taifa changa!

Anafuatilia jinsi baada ya nusu Karne, watu wale wale, chama kile kile, Katiba ile ile n.k. lakini hapo hapo bado tunatumaini kupata matokeo tofauti!

To us Tanzanians good is enough even where better is possible. Naona wapo vijana hawajui tuliwahi kuvuma kwa riadha, wanashangilia failure!

Je huyu kijana mdogo atakuwa na malengo gani maishani? Kwamba hata usipofanikiwa kimaisha watakuwepo watakaokupa hongera?

Hakika tumelaaniwa...!
 
Hivi ninyi mnaomponda kijana Simbu mna akili timamu? Au kila sehemu mnaweka siasa? ....kabla ya kuilaumu serikali tukumbuke hivi vipaji tunaishi navyo majumbani mwetu. Jiulize ni lini ulifanya kitu hata kidogo kuendeleza kipaji hapo kwako? Mnajua Simbu alipoanzia hadi kufika hapo alipofika? Kwa taarifa yenu ni kuwa hao wanariadha hupitia maisha magumu sana wakati wakitafuta kufanikiwa kama ilivyo kwa vipaji vingine. Wengi wao hukatishwa tamaa na watu wao wa karibu kwasababu wanariadha ni nadra sana kufanya shughuli zingine ngumu maana hutumia muda mrefu kupumzika baada ya mazoezi makali. Kiufupi kijana Simbu kaanzia mbali hadi kufika hapo. Tumtie moyo apambane zaidi na kwasababu bado umri wake mdogo huenda akafanya makubwa zaidi. Mnaoponda MLAANIWE
 
Back
Top Bottom