BRAZIL: Mtanzania, Felix Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 katika Marathon za Olimpiki

BRAZIL: Mtanzania, Felix Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 katika Marathon za Olimpiki

Si bure.... Huenda ametumia dawa za kusisimua misuli..... Achunguzwe haraka ikibainika atumbuliwe..... Serengeti boys wao waliedit miaka yao wakawa wanavionea vitoto vya watu ikaja kubainika... Huyu achunguzwe maana si kawaida yetu kuingia 10 bora... Ila wakiweka mchezo wa MAJUNGU tutashinda kihalali maana tunayaweza
 
Mtanzania Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 Marathon Olympics, haijapita kutokea.

Juma Ikangaa aliwahi kushika nafasi ya 6. Mtangazaji alisema they say in Tanzania Hapa Kazi Tu!!

Kumbe slogan ya JPM imesambaa ulimwengu mzima. Congrats Simbu

View attachment 385364

ALPHONCE FELIX SIMBU NA WENZAKE WATAWASILI TANZANIA TAREHE 25 AUGUST, SIKU YA ALHAMISI SAA NANE KAMILI MCHANA.
Nomba kufahamu ni nani Mkiti wa kamati ya olimpiki hapa TZ? Bado ni Bayi au alishaondoka?
 
Wewe vipi? Au uko ugaibuni umesahau uTanzania wako?
Kua wa 5 is a big deal. Lini ulisha wahi kukuzima ndera ya Tanzania kwenye bango la Olimpiks?



...kwangu mimi kuwa wa 5 sio big deal...tunatofautiana..kwangu mimi kuwa wa 1,2 au 3 ndio big deal....maana ni medali....vigezo vyangu na vyako kupima
Wewe vipi? Au uko ugaibuni umesahau uTanzania wako?
Kua wa 5 is a big deal. Lini ulisha wahi kuona bendera ya Tanzania kwenye bango la Olimpiks?




.....we differ... Kwangu mi kuwa wa 1,2 ama 3 ndio big deal...kwangu ku
Wivuu wakibongoo ndioomaana mnapigana misumariii
.wivu wa mama yako kwa baba yako...sio huu....
 
Tangu 1964 kwenye olympic ni mara ya kwanza Mtanzania kushika namba tano.
Tanzania iliwahi kutwaa medali mbili kwenye Olympics za mwaka 1980...
  1. Medali ya Fedha Suleiman Nyambui 1980 Moscow Athletics Men's 5000 metres
  2. Medali ya Fedha Filbert Bayi 1980 Moscow Athletics Men's 3000 metre steeplechase

rio-olympics-jpg.385989

Masikini Tanzania...!
 
Hivi ninyi mnaomponda kijana Simbu mna akili timamu? Au kila sehemu mnaweka siasa? ....kabla ya kuilaumu serikali tukumbuke hivi vipaji tunaishi navyo majumbani mwetu. Jiulize ni lini ulifanya kitu hata kidogo kuendeleza kipaji hapo kwako? Mnajua Simbu alipoanzia hadi kufika hapo alipofika? Kwa taarifa yenu ni kuwa hao wanariadha hupitia maisha magumu sana wakati wakitafuta kufanikiwa kama ilivyo kwa vipaji vingine. Wengi wao hukatishwa tamaa na watu wao wa karibu kwasababu wanariadha ni nadra sana kufanya shughuli zingine ngumu maana hutumia muda mrefu kupumzika baada ya mazoezi makali. Kiufupi kijana Simbu kaanzia mbali hadi kufika hapo. Tumtie moyo apambane zaidi na kwasababu bado umri wake mdogo huenda akafanya makubwa zaidi. Mnaoponda MLAANIWE
Kapata medali gani mpaka tumsifie? next time mwambie aje na medali tutampatia haki yake
 
Hivi ninyi mnaomponda kijana Simbu mna akili timamu? Au kila sehemu mnaweka siasa? ....kabla ya kuilaumu serikali tukumbuke hivi vipaji tunaishi navyo majumbani mwetu. Jiulize ni lini ulifanya kitu hata kidogo kuendeleza kipaji hapo kwako? Mnajua Simbu alipoanzia hadi kufika hapo alipofika? Kwa taarifa yenu ni kuwa hao wanariadha hupitia maisha magumu sana wakati wakitafuta kufanikiwa kama ilivyo kwa vipaji vingine. Wengi wao hukatishwa tamaa na watu wao wa karibu kwasababu wanariadha ni nadra sana kufanya shughuli zingine ngumu maana hutumia muda mrefu kupumzika baada ya mazoezi makali. Kiufupi kijana Simbu kaanzia mbali hadi kufika hapo. Tumtie moyo apambane zaidi na kwasababu bado umri wake mdogo huenda akafanya makubwa zaidi. Mnaoponda MLAANIWE

bado kiza kinene, wakati wa pombe si wakati wa kazi, ama unamaana hapa kazi tu hamna pombe, kupata suluhu ni majaliwa.
 
Si bure.... Huenda ametumia dawa za kusisimua misuli..... Achunguzwe haraka ikibainika atumbuliwe..... Serengeti boys wao waliedit miaka yao wakawa wanavionea vitoto vya watu ikaja kubainika... Huyu achunguzwe maana si kawaida yetu kuingia 10 bora... Ila wakiweka mchezo wa MAJUNGU tutashinda kihalali maana tunayaweza
bado kiza kinene, wakati wa pombe si wakati wa kazi, ama unamaana hapa kazi tu hamna pombe, kupata suluhu ni majaliwa.
 
CONGRATS ZAKE HUYO BRO, HOLLAHHH TANZANIA
Mtanzania Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 Marathon Olympics, haijapita kutokea.

Juma Ikangaa aliwahi kushika nafasi ya 6. Mtangazaji alisema they say in Tanzania Hapa Kazi Tu!!

Kumbe slogan ya JPM imesambaa ulimwengu mzima. Congrats Simbu

View attachment 385364

ALPHONCE FELIX SIMBU NA WENZAKE WATAWASILI TANZANIA TAREHE 25 AUGUST, SIKU YA ALHAMISI SAA NANE KAMILI MCHANA.

Tangu 1964 kwenye olympic ni mara ya kwanza Mtanzania kushika namba tano.
 
Mkuu nch
Aidha serikali itambue kuwa kina Samsoni Ramadhani na Isegwe waliowahi kushinda medali ni watoto wa sgd.Huyo simbu sijui Sara Ramadhani ni wa sgd.Sasa kulikuwa na sababu kweli ya kuweka kambi kilimanjaro? Unaweka watu kambini hamna hata chakula unategemea nini,SERIKALI WEKEZENI IKUNGI! Kama hatujapata medali kibao tu.
nchi kubwa mkuu Ila wanaokimmbia ni wambulu na wwanyaturu pekee,kazi IPO alaf sasa camp inawekwa Moshi sijui ili iweje
 
Luuss
..wanatakiwa wafanye mazoezi eneo ambalo lina muinuko (high altitude).

..hewa ktk maeneo hayo ni nyepesi hivyo mwanariadha hujenga stamina zaidi.

..kambi ya riadha kwa Tz inatakiwa iwe maeneo ya Mbulu, Kilimanjaro, au popote pale penye muinuko.

..baada ya kutoka huko kambini walitakiwa wa-simulate tena hiyo marathon ktk eneo ambalo kuna hali ya hewa kama ya Rio.
Lushoto pia panafaa but Mbulu ndo penyewe wanatoka wafukuza upepo
 
ongera zake mkuu,,kwetu sisi huyo ndio bingwa wetu wa olimpiki.
 
Nashindwa kabisa kusema kusifia mtu hapati medali yeyote ila tunajadili kujitahidi pale sio eneo la ajali pale watu wanapambanaa eti kiume, sasa unaanza kusifia chenga wakati huna goli, ? Tukae chini tulie na nafsi zetu zinazoshindwa kila Leo.
Chenga ndiyo mwanzo wa kujua kucheza mpira. Hakuna aliyeanza kutembea kabla ya kutambaa na kunyenyukia vitu. Alphonce Felix Simbu ametufikisha Tano Bora za Olimpiki kwa Mara ya kwanza yangu michezo hii ianzishwe
 
Mtanzania Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 Marathon Olympics, haijapita kutokea.

Juma Ikangaa aliwahi kushika nafasi ya 6. Mtangazaji alisema they say in Tanzania Hapa Kazi Tu!!

Kumbe slogan ya JPM imesambaa ulimwengu mzima. Congrats Simbu

View attachment 385364

ALPHONCE FELIX SIMBU NA WENZAKE WATAWASILI TANZANIA TAREHE 25 AUGUST, SIKU YA ALHAMISI SAA NANE KAMILI MCHANA.

Tangu 1964 kwenye olympic ni mara ya kwanza Mtanzania kushika namba tano.


UKIWA NA MAWAZO YA KIMASIKINI SHIDA SANA.

MASKINI HUWA SIKU ZOTE ANAWEKA MALENGO/MAWAZO YAKE KWENYE KIWANGO CHA CHINI NA MARA NYINGI HUWA ANAFANIKIWA KUYATIMIZA NA WANAENDELEA KUWA MASKINI MILELE.

WENYE MAWAZO YA KITAJIRI NI TOFAUTI KABISA KILA SIKU WANAWAZA KUWA JUU NA MAWAZO YAO NI VITU VIKUBWA HAWARIDHISHWI NA MAMBO MADOGO MADOGO.

TANGU MWAKA 1964 HAKUNA ALIYESHIKA NAMBA 5? WATANO 5 NA WAISHIRINI 20 WANATOFAUTI GANI? KAMA WOTE SIYO WASHIRIKI TU. NANI ATAKUMBUKA KUWA ALISHIKA NAMBA 5?

"THINK BIG AND GROW RICH"
 
Back
Top Bottom