Brazil to play Tanzania in a friendly

Mbona viti vingi ni vitupu? Nilisikia kuwa ticket zaidi ya 60,000 zilikuwa zinategema kuuzwa. Je uwanja ule unachukua watu zaidi yo 60,000?
 
Taifa Star leo watabugia magoli kwa Uchahe wa Magoli Watafungwa Taifa Stars 0 - 5 Brazil Taifa Star Wanafundishwa Mpira leo na Baba zao Wa Brazil.
 
Kumbe walifungwa na Rwanda sasa ndo watawafunga Brazil?
 
TBC1 wanaonyesha mpira naona mkuru kawaambia wa Chalinze nao wanataka kuona mechi
 
Mie naangalia kupitia chanel moja ya waraabu,naona mtangazaji unauita uwanja wa ben mkapa,kwani tayari mmeubadilisha jina uwanja wetu.
 

Sikonge this game is very interesting though vijana wetu wanajitahidi though finishing yao ndiyo ipo very poor...Ila wasipoangalia HADI DAKIKA 90 SINAISHA NI 4-0....

AlAFU uwanja upo empty kabisa naona watu wamenunia game....lakini come to think about this...hii mechi ingekuwa investment nzuri sana...maana hapa naangalia live na matangazo kibao tuu online kumbuka lazima kwenye haya matangazo lazima tanzania tuna commision yetu na kila tv itakayoonyesha lazima tanzania tulipwe tunaweza make so much money kuliko hata tuliyolipia hii mechi ya Brazil kuja kucheza na Tanzania....Sema tuu one thing ni kwamba Mafisadi watajigawia....Na umasikini bado unaendelea....
 
Nafikiri tunawatangaza marefa wetu ,yaani wanavyoenda mbio na mbia kuutangaza uwanja ili tuweze kuchezesha kombe la dunia kwa miaka ijayo ,uwanja una nyasi kibao ,tatizo refa anazungumza na waburazili kiswaili ,hongera kocha maxima kwa kuileta burazili apo bongo.
Nasubili jamaa watakavyonyang'anyia jezi.
 
he heeeeeeeeee Mkwere hapo anajisikiaje jamani? Mashimo oops sorry Max nani tena naye anakereka kiaina ka vile amewanoa sana hawa dogo. Hawa walitakiwa wawe kama wale watoto wetu kule Kopa Coca Cola! Chapa mtu 15, 11 yaani ni raha tu lol
 
nashukuru sana mkuu ninaungalia live hapa kwenye ESPN VIVO. Ubarikiwe duu
 
Goli la kitoto kabisa lile lilifungwa Ramires
 
Mhh goolkeeper naona bora wangemtoa tu kabisa maana sioni anachofanya
 
naomba Cv ya huyu kipa wetu mharami mohamed please na maximo alimuonaje huko nje ya nchi au alitumia kuambiwa?


tukiacha kucheza kama mchangani kwamba kila mtu anataka kufunga yeye tunaweza kupata goli la kufuta jasho la walipa kodi lakini tukiendelea kila mtu anataka kupata sifa ya kupata goli lake zidi ya Brazil ni noma.
 
Alafu huyu namba 14 ni mnene sana alafu mzito
 
Mbona viti vingi ni vitupu? Nilisikia kuwa ticket zaidi ya 60,000 zilikuwa zinategema kuuzwa. Je uwanja ule unachukua watu zaidi yo 60,000?

mwalimu uwanja is only half full (or empty) na kama Brazil imeshindwa kuujaza huo uwanja sijui timu gani duniani inaweza kuujaza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…