Nafikiri TV za kulipia nyingi wanaonyesha huu mchezo. Kuna mshikaji wangu aliniambia ataangalia kwenye EUROSPORT 2. Wanafaidi wenye madishi yao na hii ina maana kuwa nchi nyingi wanaangalia ila sidhani kama TV za taifa/Za bure wataonyesha hii mechi.
Wananchi wamefanya safi sana kugomea mechi. Hamna hata tangazo la Mlima Kilimanjaro upo Tanzania, ovyoooo.
Hilo Tangazo la SERENGETI utafikiri limeandikwa kwa kutumia KISAMVU, chafu kabisa na halionekani. Sijui Idiot gani alitengeneza.
Ngasa naona anajiuza safi sana na anacheza na wenzake. Yule mwenye nwele ndefu (kasuka) anacheza kama kalazimishwa. Anajiona MATAWI sana wakati hapo ndani kuna akina KAKA wapo simple na friendly kabisa.
Naona poa tu sikupoteza hela zangu kununua ticket kwenda Dar na kununua ticket ya mpira. Hela ya ticket ntawapa masikini.