Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa Star leo watabugia magoli kwa Uchahe wa Magoli Watafungwa Taifa Stars 0 - 5 Brazil Taifa Star Wanafundishwa Mpira leo na Baba zao Wa Brazil.
Nafikiri TV za kulipia nyingi wanaonyesha huu mchezo. Kuna mshikaji wangu aliniambia ataangalia kwenye EUROSPORT 2. Wanafaidi wenye madishi yao na hii ina maana kuwa nchi nyingi wanaangalia ila sidhani kama TV za taifa/Za bure wataonyesha hii mechi.
Wananchi wamefanya safi sana kugomea mechi. Hamna hata tangazo la Mlima Kilimanjaro upo Tanzania, ovyoooo.
Hilo Tangazo la SERENGETI utafikiri limeandikwa kwa kutumia KISAMVU, chafu kabisa na halionekani. Sijui Idiot gani alitengeneza.
Ngasa naona anajiuza safi sana na anacheza na wenzake. Yule mwenye nwele ndefu (kasuka) anacheza kama kalazimishwa. Anajiona MATAWI sana wakati hapo ndani kuna akina KAKA wapo simple na friendly kabisa.
Naona poa tu sikupoteza hela zangu kununua ticket kwenda Dar na kununua ticket ya mpira. Hela ya ticket ntawapa masikini.
Viti vya orange watu wamezoea kulipa elfu 5, na ndio uwezo wao leo unawaambia elfu 30 watazitoa wapi?Mbona viti vingi ni vitupu?
Mbona viti vingi ni vitupu? Nilisikia kuwa ticket zaidi ya 60,000 zilikuwa zinategema kuuzwa. Je uwanja ule unachukua watu zaidi yo 60,000?