Brazil to play Tanzania in a friendly

Baada ya miaka mitano ya JK tumeweza kufaulu kuvuna/kununua goli tano kwenye kandanda. Kweli maendeleo yaweza kupatikana kwa njia mbalimbali jamani but at what cost, hongera sana KJ !
 
kwaherini wadau hawa Goons wamenichelewesha kwenda WWDC..,it was a painful experience watching how poor we are intelectually.wakati watanzania tunatumiwa na wenye mkate kufanya mambo makubwa.
 
Hell no!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!......................Ya kweli haya Home B???????????

KOCHA WETU MPYA ANAITWA PAULSEN NA ALIKUA ANAFUNDISHA VIJANA DENMARK... maximo aishie zake tu, kafaidi alivyofaidi sasa aache wenzake
 
Swali....Hivi mechi ya leo imetumika vipi kuutangaza utalii(tulioambiwa ndo lengo kuu la kuwaleta Samba Boys)????????????????????

siasa tu mkuu hakuna kingine chochote kilichofanyika hapa,kama walikuwa na nia ya kutangaza utalii hizo dollar mil 2.5 wangeenda kulipia matanazo South Africa huko huko ambako macho yote ya dunia yapo huko.
 
Tuachane na kilio cha kufungwa na Brazil tuanze kushangilia mengine mazuri pia. Kwa mfano hili hapa chini
 
TFF aibu tupu...kama Watz wameweza kususia game kwa kiingilio,basi hataCCM wataisusia tu siku moja!!!
 
TFF aibu tupu...kama Watz wameweza kususia game kwa kiingilio,basi hataCCM wataisusia tu siku moja!!!


TFF wanahitaji cost accountant mzueri wa kuwasaidia katika mabo haya; wao walipanga viingilio vile kiholela bila kufanya break-even analysis na hivyo kujikuta wakipoteza badala ya kupata.
 
Tuachane na kilio cha kufungwa na Brazil tuanze kushangilia mengine mazuri pia. Kwa mfano hili hapa chini

This is very good news.

if we are ever going to improve in soccer this is where it has to begin. With our youth teams and leagues (not that we have one yet but we need them. each premiership team should have some kind of youth development program and team).

If we put our efforts towards this by 2018 we could be represented at the world cup.

Even if you bring Mourinho to coach us, he can only work with what he has. So blaming Maximo is useless he has done what he can with what he was given.
 
Ila yeye akaimba kivyake.
[/QUOTE]

hahahaaaa
 
Last edited by a moderator:

gigo
 
wachezaji wetu hawana stamina kabisa.Tanzania hakuna Gym?trainers kazi yao ni nini?

Tatizo wakianza kujifua kwenye gym...kupiga chuma, kukimbia kwenye treadmills, ellipticals, n.k. mijitu itaanza kuwaita eti "mabaunsa" whatever the fcuk that means...

Hebu cheki huyu mwana NBA Dwight Howard anavyojifua.....halafu eti yule Hashimu ndiyo apewe kazi ya kum-guard huyu...Lol

 
Last edited by a moderator:
nimeangalia mechi lakini sijaona bango lolote lililokuwa likitangaza utalii wa nchi yetu,hivi mlima kilimanjaro sijui uko kenya au Tanzania?
 

Tangazo la serengeti hapa ni serengeti beer
 
Hivi maximo ni mtanzania au??..anawezaje hapo kuitia aibu Brazil??
 
For those who did not see the match all highlights and goals available at www.bongoline.com

We still have got a long way to go. Really really long way.

the big question is was this match worth it?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…