Brazil to play Tanzania in a friendly

Hili kweli ni tatizo la wengi sasa nina nguruwe wangu pale nyumbani ngoja niangalie soko nikifanikiwa nitakusaidia japo uingie uone hiyo mechi lakini itabidi upunguze makali ya kukaa kule VIP ukae huku kwenye sehem ya toto za mbwa kwa bei rahisi sawa charity!
 
Kaka....
Tiketi ni zengwe kwa sasa.
Tunasikia sikia tu kuwa zimeisha.
Tunaomba pccb (takukuru) wasimamie swala hili ili kuondoa hujuma.
 
 

Purely non-sense from an ARROGANT Kenyan..I feel like I wanna vomit reading this post...
 
Mechi haipo watanzania wameigomea badala yake timu ya Brazil imeandaliwa dhifa ya taifa Ikulu, habari ndo hiyo!
 
Kwa habari nilizozipata toka kwenye chanzo cha kuaminika ni kwamba tiketi za laki 2 zimeisha, za elfu hamsini zimeisha pamoja na elfu thelathini pia nazo zimeisha.

Nasikia baadhi ya watu wamezinunua kwa wingi, e.g. Yusuf Manji (for Yanga fans), Azim Dewji (for his staff at Simba Plastics), NMB (main sponsor), Serengeti (Sponsor), na makampuni mengine mengi. Wengi wa hawa watu wameshalipia tayari, hii ni kwa mujibu wa chanzo changu kilichopo pale TFF!!

Binafsi nimeanza kuingiwa na woga wa kuikosa mechi hii!!

Hivi kuna haja gani ya TFF kutangaza kuanza kuuza tiketi kesho mchana huku tayari wameshaziuza tayari baadhi ya tiketi kupitia mlango wa nyuma? Hii ni sawa kweli????
 
 
Sawa ila mimi bado tatizo liko kwenye tume ya mawasilia kuachia walalahoi washindwe kuendelea kuinjoi TV baada ya 2012 kwani itagharimu watanzania kuwa na decoder 3 kuweza kupata local channels. Hii haiingii akilini kabisa.
 

Za 30,000/- zipo maalum kwa ajili yako hizo nyingine wanazopiga kelele mihela mingi wamezinunua wenye HELAA
 
Sisi kwetu ndio matajiri sanaaaa mpaka kiingilio kidogo kiwe 30,000/=? Hapa kuna harufu ufisadi live, tugomeni tu kwenda uwanjani kama MwanaJF mmoja alivyosema.:glasses-nerdy:
 
acha kelele wewe hiyo mechi kwako ni anasa angalia kaa nyumbani uingalie kupitia kwa runinga au unathani huku ulaya kila mtu ana-afford kuangalia mpira live? Hizi kelele nyingine nazo basi tu!
 
acha kelele wewe hiyo mechi kwako ni anasa angalia kaa nyumbani uingalie kupitia kwa runinga au unathani huku ulaya kila mtu ana-afford kuangalia mpira live? Hizi kelele nyingine nazo basi tu!


Wewe ni walewale mafisadi wasio na uchungu na walala hoi, sijui humu JF unangoja nini, hebu tafuta forum ya mafisadi wenzio, sisi hapa tuko huru kutoa madukuduku yetu na huna uwezo wa kuniambia niache kelele.
 
Sisi kwetu ndio matajiri sanaaaa mpaka kiingilio kidogo kiwe 30,000/=? Hapa kuna harufu ufisadi live, tugomeni tu kwenda uwanjani kama MwanaJF mmoja alivyosema.:glasses-nerdy:

Goma wewe tu..wenye hela wanakwenda na tayari siti zimejaa bado chache za kule kwa walalahoi...Tulia nyumba ufanye mgomo huku ukiwa na remote yako ukiangalia vipindi vya mapishi na cartoon!!...Sie Michezo ndo starehe yetu!!
 
Sisi kwetu ndio matajiri sanaaaa mpaka kiingilio kidogo kiwe 30,000/=? Hapa kuna harufu ufisadi live, tugomeni tu kwenda uwanjani kama MwanaJF mmoja alivyosema.:glasses-nerdy:

labda Brasil wamenda Zimbabwe kwa Basi ndio maana gharama zimekuwa ndogo?=>10USD

na 10$ in kima cha chini au cha Juu?
 
Kuna mtu amekulazimisha kwenda uwanjani?
Soka lina watu wake, kama ww si mshabiki utaona thate ni pesa kibao!
kila fani ina watu wake, mwingine akiona unatumia thate kwenye laga atakushangaa!
wacha watu wakacheki soka kwa raha zao!! unafikiri watakuskiza wewe wakati mafweza wanatoa wao?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…