[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]sawa!!Nyumbani siwezi, ila ikiwa ni hotelini naweza kufata restaurant.
Hapo ni kama bado tupo siku hiyo, tukimaliza chai kuna malipo yangu, then ndo tukafanye mizunguko.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume bwana!Nasoma maoni ya wadau ,kupata uzoefu
Nakazia na inch 6Eeeh fanya yoote alafu ukute kuna lijinga linakugegedea badae
kwakweli " nadhani hata msanifu Wa hizo picture pia nayeye itakuwa hawezimimi nachukua nafasi ya kuwahesabu mkuu maana mimi siwezi hayo mambo ya movie za kikorea
Wewe unafanyaga hivi ?Wangapi tunaweza kufanya hivi?View attachment 861035
... Ongezea na Vyuoni pia, na sio vyumbani mwao tu, hapana, hufika mbali zaidi katika uigizaji hadi kwenye lecture hall, Kana kwamba mahusiano ndio kitu kilichowapeleka chuo.Hawa wapo kwenye vitabu na movie za hollywood..
Utawapata wengi sana kwenye huu uzi.Pigia mstari......
Aaaah kwa hiyo kumbe na wewe una njunjuana.Unajua wenzetu logistics za kutoka nje ya chumba tu lazima aicomplicate, mimi nikivaa kaptura na T-shirt fasta niko restaurant nachukua narudi room, hapo wote tunakuwa bado wa moto, ila ukishaenda mbali kidogo unakuta mmeshapoa, kwa hiyo kuanzia kuzitafuta nyege tena inakuwa usumbufu, maana cha asubuhi hakina romance ndefu.
Kama hiyo offer siipati, anavaa tunaenda wote na safari inaanzia hapo kwa siku hiyo, unless ilikuwa makubaliano kabla ya kwamba tukimaliza nitafata.
Teacher mbona vitu vya kawaida hivi... Ongezea na Vyuoni pia, na sio vyumbani mwao tu, hapana, hufika mbali zaidi katika uigizaji hadi kwenye lecture hall, Kana kwamba mahusiano ndio kitu kilichowapeleka chuo.
Wanaofanya kama mimi sio? Nimeona tupo wachacheUtawapata wengi sana kwenye huu uzi.
Aaaah kwa hiyo kumbe na wewe una njunjuana.
[emoji58][emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]