Breakfast in Bed....

Aaaah kwa hiyo kumbe na wewe una njunjuana.
[emoji58][emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
 
KWAIYO ANAMSHINDILIA HAYO BILA HATA KUSWAKI JMN...AU KUSWAK NI BAADA YA KUBUGIA
 
... Ongezea na Vyuoni pia, na sio vyumbani mwao tu, hapana, hufika mbali zaidi katika uigizaji hadi kwenye lecture hall, Kana kwamba mahusiano ndio kitu kilichowapeleka chuo.
Teacher mbona vitu vya kawaida hivi
Teacher mbona vitu vya kawaida hivi...
Utawapata wengi sana kwenye huu uzi.
Wanaofanya kama mimi sio? Nimeona tupo wachache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…