Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Awwwwwwwaaaaππππππππππ!My breakfast is kukukula mate π
Nakupa ule vyotee ππ₯°π₯° !..
Santo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awwwwwwwaaaaππππππππππ!My breakfast is kukukula mate π
Mix dagaaMimi nakula ugali asubuhi saa 4 mchana napiga ndefu mpaka usiku hapo msosi wowote nikiukuta home twende kazi.
Ila maziwa fresh ya baridi asubuhi muhimu sana friji lisikose paketi za Tanga fresh.
Ngano sikushauri mkuu, hii ngano yetu iliyokobolewa haina faida yoyoteNdio maana matumbo yanavimba kama mna mimba.
Asubuji mihogo
Mchana ugali
Usiku wali
Sasa utakuaje na afya kwa kula wanga uliotukuka na misukari.
Ukiambiwa ule samaki, ngano, kuku n.k unasema watonga na bajeti.
Kiruuuu.
Starch na viazi vitamu every dayWengine kila asubuhi chai Mkate wengine hupendelea Viazi mviringo kila asubuhi na wengine kiporo cha wali.
Mimi Kwa mazingira ninayokuwepo asubuh siwezi kukwepa Mihogo Kama mnavojua cassava Kwa sasa ndo ipo on chart bila kuchoka Maharage na Juice ya passion. Kwanini kwanza navikubali vitu hivo
Juice ya Passion ina vitamini C nyingi, ambayo ni antioxidant inAsaidia kulinda mwili .Vitamini C inaongeza kinga ya mwili, mwili unanyonya madini ya chuma zaidi kutoka kwa vyakula vinavyotokana na mimea, so juice yangu hio inaboresha uwezo wa mwili wa kupambana na maambukizi mwilini.
Ukija kwenye cassava hapo una kalori nyingi na wanga nyingi na vitamini na madini pia. Na wenyewe una vitamini C, thiamine, riboflauini n. k ingawa Kati ya muhogo na kiazi kitamu ambacho kipo juu Kwa nutrients ni kiazi kitamu.
Maharage hapo ndo penyewe sasa uhakika kwenye Protini ambayo ni kirutubisho muhimu kutengeneza mwili pamoja na folate. Maharage ni mazuri mnoooo Kwa afya ya moyo.yanapunguza hatari ya saratani,kisukari na mwisho kabisa hayana cholesterol.. Me daima nitakula Maharage hakuna cha vidonda vya tumbo wala kiungulia. Me nayatandika Mpaka mwisho.
Tubadilishane uzoefu we unakula nini asubuhi mara nyingi nyingi.
Mimi mihogo chai rangi imetokaEnglish breakfast.....in my dreams!
Hata mm napendelea kupiga ugali asubuhi au wali maharage imetoka hiyooMimi nakula ugali asubuhi saa 4 mchana napiga ndefu mpaka usiku hapo msosi wowote nikiukuta home twende kazi.
Ila maziwa fresh ya baridi asubuhi muhimu sana friji lisikose paketi za Tanga fresh.
Almond unapata wapi mkuu?Mimi natengeneza smoothie ya mchanganyiko wa matunda, korosho ,almond na tangawizi. Kama leo ni ya embe, papai almond, korosho na tangawizi.
Ukimaliza tafuna majani ya MVUJEMaharage huwa yana tabia ya kutoa gesi ya sulphide vipi unapambana nayo kivipi?
Mchana kula mlo kamili wenye wanga na protein, usiku ukimaliza kufanya MAZOEZI ya kuuweka mwili fit, unakula full plate ya mchanganyiko wa matunda pekee au unaweza ukaifanya kama salad unachanganya na mbogamboga na mbegu jamii ya karanga Kisha unapata tangawizi yako kikombe kimoja.Mimi asubuhi nachukua bamia kumi zinakatwa vipande vidogovidogo, vitunguu maji 2, vitunguu Swaumu punje 6 vinakatwa vipande, tangawizi kidogo, hoho 1, na pilipili kipande kidogo.
Baada ya hapo naweka maji kiasi jikoni na chumvi Kwa mbali na mafuta ya kupikia nusu kijiko, maji yakichemka natia huo mchangangiko wangu wote wa mbogamboga na viungo vyote Kwa pamoja nauacha Kwa muda wa dakika 5 mpaka 10 vinakua tayari Kwa kula. Hapo Kwa pembeni nakuwepo na nusu lita ya maziwa fresh yaliyochemshwa vizuri. OVA
NB: Siku nyingine naweka karoti na biringanya badala ya bamia.
Mie mama wa nyumbani ratiba yangu ni hii
Jumatatu napika mkate wa ufuta na maziwa
Jumanne : viazi vya kukaanga kachumbari na chachandu
Jumatano: mihogo mixer viazi na karanga za kuchemshwa
Alhmisi : maandazi na rost inategemea mzuka wa siku hiyo
Ijumaa : kiporo cha maharage na wali sababu alhamisi nina ratiba ya kupika maharage, kunde au choroko
Jumamosi: supu ya sangara na ndizi
Jumapili : supu ya kuku na viazi vya kuchemshwa tunachovya na mbegu za ufuta au mbegu za maboga zinakaangwa zinatwangwa utamu wake ni balaaa.. Mwanangu mmoja hapendagi hiyo mixer so huwa natoa kipande cha kuku namkaangia na viazi na kachumbari.
Uzani wa kilo zinasomaje mkuu?Mie mama wa nyumbani ratiba yangu ni hii
Jumatatu napika mkate wa ufuta na maziwa
Jumanne : viazi vya kukaanga kachumbari na chachandu
Jumatano: mihogo mixer viazi na karanga za kuchemshwa
Alhmisi : maandazi na rost inategemea mzuka wa siku hiyo
Ijumaa : kiporo cha maharage na wali sababu alhamisi nina ratiba ya kupika maharage, kunde au choroko
Jumamosi: supu ya sangara na ndizi
Jumapili : supu ya kuku na viazi vya kuchemshwa tunachovya na mbegu za ufuta au mbegu za maboga zinakaangwa zinatwangwa utamu wake ni balaaa.. Mwanangu mmoja hapendagi hiyo mixer so huwa natoa kipande cha kuku namkaangia na viazi na kachumbari.
Hahahaa bongo mwishowe tutakatazwa kula kabsa...Ngano sikushauri mkuu, hii ngano yetu iliyokobolewa haina faida yoyote
Zipo kibao supermarketsAlmond unapata wapi mkuu?
Awwwwwwwaaaaππππππππππ!
Nakupa ule vyotee ππ₯°π₯° !..
Santo sana








Umenikumbusha maisha ya chuo, bad but good old and simple days.andazi la bakhressa na kishushio energy drink.