suzie _barbie
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 1,523
- 3,073
Asante mkuu. Ilibidi jana niichukue baada ya kelele nyingi humu ndani.Wazungu watakuwa na matatizo ya akili na bila shaka itakuwa mambo ya kibiashara ndo maana hiyo Breaking Bad ipo hapo.
Hiyo Series ni Series ya kawaida sana,ilinilazimu niiangalie Mwanzo hadi Mwisho kuona ambacho watu wanaipendea lakini hakuna chochote!.
Zipo Series kali na nzuri kutoka huko America lakini si Breaking Bad
Hamna kitu mkuu yaani huwa ni kelele tu za watu wasiozifahamu Series kali!Asante mkuu. Ilibidi jana niichukue baada ya kelele nyingi humu ndani.
Nasema hivi Najutaaaa
Nitajie serie unayokublHamna kitu mkuu yaani huwa ni kelele tu za watu wasiozifahamu Series kali!
Your damn rightHeiseberg
Mkuu naikubali sana PRISON BREAK & GAME OF THRONENitajie serie unayokubl
Hapo swaMkuu naikubali sana PRISON BREAK & GAME OF THRONE
Baadae mkikaa kwenye kijiwe cha JF mnasema wasanii wanaharibu maadili kumbe nyie ndiyo wa wakanza kuharibu maafili
1. Breaking Bad - Uuzaji wa madawa ya kulevya
2. Game of throne - Ngono za wazi wazi
3. Money heist - Wizi na ujambazi
4. Yellow jackets - Usagaji na ushoga
5. Strike back - Ushoga, ngono
Nilishindwa hata kuangalia
Sawa. Kwako ngono siyo shidaMkuu kutazama kwako kote GOT wewe umeona usagaji na ngono??
Kuna kitu kina miss kwenye ubongo wako.
Sawa. Kwako ngono siyo shida
Angalia hiyo GOT ukiwa na watoto wako, mke wako, mama yako mzazi na ndugu zako wengine kwasababu ni series nzuri itawapendeza sana.
Unaangalia porno halafu unajifariji na kujiona wewe ni mjanja sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
1. Kwahiyo na sisi Tanzania tujenge Pleasure house (Danguro)?Mkuu kwani kuzagamuana kuna shida gani? Kila binadamu unaye muona ametokana na tendo hilo
Kuzagamuana sio dhambi wala sio matusi wala sio kukosa heshima..... ni jambo lenye RAHA na TAMU kuliko matendo yote[emoji23][emoji23][emoji23]
Baba na mama yako walizagamuana ukapatikana wewe kama ambavyo baba na mama yangu walivyozagamuana nikapatikana mimi
Kinachotakiwa ni kwamba jambo lifanyike kama tulivyotamadunishwa
Hata wewe huwezi kumzagamu mkeo sebuleni na watoto na house girl yupo pale
Una akili timamu unatakiwa ujue kitu gani ufanye ukiwa wapi na kwa wakati gani
kama huwezi kumzagamua mkeo sebuleni na familia basi pia usiangalie porn sebuleni na familia......
Inaonekana umezoea sana kubisha, kiasi kwamba unabishia hadi Data.Wazungu watakuwa na matatizo ya akili na bila shaka itakuwa mambo ya kibiashara ndo maana hiyo Breaking Bad ipo hapo.
Hiyo Series ni Series ya kawaida sana,ilinilazimu niiangalie Mwanzo hadi Mwisho kuona ambacho watu wanaipendea lakini hakuna chochote!.
Zipo Series kali na nzuri kutoka huko America lakini si Breaking Bad
1. Kwahiyo na sisi Tanzania tujenge Pleasure house (Danguro)?
2. Unaonaje na sisi Movie na Series zetu ziwe na maudhui kama game of throne Usagaji, ushoga na kufanya ngono kwa ujumla? maana haiathiri kwasababu unachotakiwa kuangalia ni ujumbe tu mambo ya ngono unayaacha pembeni
Wee mwamba ni kisanga😃😂🤣Who do you think you are?
Am the guy who your boss brought here so to show you how it's done.
So bring my phenolytic acid you asshole
Eti unajuta??Asante mkuu. Ilibidi jana niichukue baada ya kelele nyingi humu ndani.
Nasema hivi Najutaaaa