Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Watu wawili waliotambulika kwa jina la Joseph Omolo na Jackline Wambui wakazi wa Kakamega nchini Kenya wamelazwa katika hospital huko Kakamega baada ya kuzidiwa kutokana na kunywa dawa ya kuoshea mikono maarufu kama sanitizer.
Sosi. Ntv kenya
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Sosi. Ntv kenya
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app