Breakup is hard to do, kuachana kusikie kwa mwenzio

😀😀😀pole
 
Hyo syo sababu mkuu
Na sko hvo ata ila tuliachanshwa kwa sababu za kikabila tu japo tulipendana Sana na hyo ndio sababu ya wazazi wake wakaamua kuntafutia mtu mwngne na kupanga mipango ya ndoa kwa haraka

Wanaoachanishwa ni wavulana na wasichana wa miaka 19~23,sisi wengine tunatoa taarifa mjukuu akishapatikana
 

Pole sana kwa msiba ulikukuta
 
Huo
Sasa mbona unajiliza huku mkuu [emoji3][emoji28]magari yanaweza kuwa mengi mjini na usimiliki hata moja ndio hivyo kwenye mahusiano pia
huo mfano si valid gari na mahusiano havindan kwan gar linahitaj direct cost,ila hawa wanawake unajichagulia tu
 
Kuna ile mlikua hamuwezi pitisha siku bila mawasiliano ila taratibu mawasiliano yakaanza kupungua

Hata ipite siku kadhaa bila mawasiliano unaona sawa tofauti na mwanzo ilivokua ngumu kuvumilia na kujikuta unawashwa washwa kumcheki

Ila kila unapojipa moyo umemove on unataka kukata ukaribu wa mawasiliano mwenzako anaibuka na kuona unamtenga ilihali yeye ndo tatizo kutokana na ubze wake
 
Jamani ya nini kuutesa moyo wakati uwezo wa kua nae unao? Rudiana nae tu
 
 
Yan uwe wewe ndo umeanzisha au mwenza ndo kaanzisha, the moment unamaliza kusema tuachane kinaanza kipindi kigumu sana, hakuna mwanaume wala mwanamke, sema ngoja nione mwisho wake.

[emoji23][emoji23]mze nyoosha tu lugha kwamba kuachwa kubaya,,demu kakutema kaenda kwa bwana anaekuzidi kila kitu huo mhaho anautoa wapi unazan,
 
Moyo haunaga sugu mkuu, trust me.
 
Kamati gani tena hizo tujuzane kiongozi [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ,kama umeoa epuka michepuko bora utulie na mkeo au ununue Malaya wa mitandaoni,kitaa. Kama una maisha wanawake wanawinda kweli kwa kutumia nguvu za giza chief,,unaweza kuacha mke mpaka watu wakishangaa kumbe umepigwa spana.
 

Spana [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…