Breakup is hard to do, kuachana kusikie kwa mwenzio

Breakup is hard to do, kuachana kusikie kwa mwenzio

Hii kitu ndo napambana nayo aisee inanikata sana maini kibaya zaidi tulikuwa marafiki kabla ya kuwa wapenzi so tulijenga bond flani ivi amazing
kwa mara ya kwanza nimeshindwa kabisa ku move on mapenzi yanauma afu panapouma hapaonekani
Nimemwachia Mungu,Mungu naye ameniachia mimi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2]Hii hatar sana
 
Nipo kwenye situation iyo kwa Sasa mkuu mazoea ni mabaya sana
Hata mimi napitia hiyo hali ingawa mimi ndo nlitengeneza mazingira ya mahusiano kuvunjika sababu nlimsoma kisaikolojia aliniweka kundi la friendzone so nkatafuta sababu ya kutibuana ingawa nlimjenga sana maana nlimkuta na vidonda vya moyo vingi sana alivyopata kwenye relations za kisasa alizopitia
So baada ya kupona nikaona kama alipunguza ile passion alokua nayo kwangu,nikaanza kujitoa mdogo mdogo huku napitia na shauri za humu

Kuna siku aliniomba pesa flani nkaona hapa ndo ntafute sababu ya kuachana nae
nkamjibu "Pesa nlonayo hapa kuna msala nimepata kuna dada nlianzisha nae mahusiano baada ya kuona hueleweki sasa kanambia kapata ujauzito na unamsumbua so nataka niende nae hosptali tukacheki imekaaje hii issue".

Asee! alilalamika mno ila mwisho wa siku nikamuelewesha na tukaachana kwa amani ingawa huwa anamcheki mshkaji wangu kwenye simu ila binafsi nshafuta namba zake na yeye hanitafuti.
Kiukweli nammiss sana na haiwezi pita siku sijamuwaza ila siwezi rudiana nae maana ana changamoto nyingi za kimaisha na kibaya siwezi mpa unafuu ingawa natambua me kwake ni mmoja ya watu nlomuachia legacy ya kivyangu vyangu ambayo Mola amenijaalia.
 
Hata mimi napitia hiyo hali ingawa mimi ndo nlitengeneza mazingira ya mahusiano kuvunjika sababu nlimsoma kisaikolojia aliniweka kundi la friendzone so nkatafuta sababu ya kutibuana ingawa nlimjenga sana maana nlimkuta na vidonda vya moyo vingi sana alivyopata kwenye relations za kisasa alizopitia
So baada ya kupona nikaona kama alipunguza ile passion alokua nayo kwangu,nikaanza kujitoa mdogo mdogo huku napitia na shauri za humu

Kuna siku aliniomba pesa flani nkaona hapa ndo ntafute sababu ya kuachana nae
nkamjibu "Pesa nlonayo hapa kuna msala nimepata kuna dada nlianzisha nae mahusiano baada ya kuona hueleweki sasa kanambia kapata ujauzito na unamsumbua so nataka niende nae hosptali tukacheki imekaaje hii issue".

Asee! alilalamika mno ila mwisho wa siku nikamuelewesha na tukaachana kwa amani ingawa huwa anamcheki mshkaji wangu kwenye simu ila binafsi nshafuta namba zake na yeye hanitafuti.
Kiukweli nammiss sana na haiwezi pita siku sijamuwaza ila siwezi rudiana nae maana ana changamoto nyingi za kimaisha na kibaya siwezi mpa unafuu ingawa natambua me kwake ni mmoja ya watu nlomuachia legacy ya kivyangu vyangu ambayo Mola amenijaalia.
Umemwachia legacy??
 
Hii kitu ndo napambana nayo aisee inanikata sana maini kibaya zaidi tulikuwa marafiki kabla ya kuwa wapenzi so tulijenga bond flani ivi amazing
kwa mara ya kwanza nimeshindwa kabisa ku move on mapenzi yanauma afu panapouma hapaonekani
Nimemwachia Mungu,Mungu naye ameniachia mimi [emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji3]labda nimelitumia vibaya hilo neno
ila nlikua na maana ya kuna namna nlikua naishi nae ni ngumu sana kupata mtu kama mimi kwa personality sema tu pesa yakunogeshea ndo ilipungua
Legacy ni parefu bana weeee.

Acha tukutafutie neno ambalo haliku mwambafy hivyo.

Legacy iyo quio?!
 
Ukishindwa ku move on inatakiwa uhamishwe kwa nguvu na vitu kama excavator,wheel loader na mengineyo.
 
Nipo kweny huo mpito,kila nkijarbu kumsahau bdo ananijia akilin ila kwa alichofanya wala ctaki nirudiane nae tena cz nshajua mbinu mbadala za kumsahau
Tupe hzo mbnu na wenzio tuzitumie jamani Maana zngne zote tumeshazmalza
 
Back
Top Bottom