Breakup is hard to do, kuachana kusikie kwa mwenzio

Breakup is hard to do, kuachana kusikie kwa mwenzio

Tatizo ni kuwa unamtokea mtu ili unyandue umuache lakin yeye anakuja na mbinu za kukuweka karibu zaidi na ww unakuwa karibu kweli mnatengeneza bond ambayo si rahis kuivunja

Ile mbinu ya kusema nagonga kisha naingia mitini unakutana na ulimbo unagonga unaganda hapo hapo
 
Mim ni mmoja wapo, iyo kitu kuMove on uwa siiwwzagi maisha yangu yote, heri niwe na list ndefu ya bebez ila sio breakup
 
Amen napokea ila pia yawezekana kuna malipo hapa hapa duniani eeh huenda nalipia kwa wale niliowagaragaza pia hii dunia hii[emoji3]
Hivi mpaka sasa bado hajatokea mtu wa kumreplace yule jamaa?
manake ni muda tangu uliposimulia hiyo break up
 
Ngumu mkuu,imagn yy anakir mwenyew kwamba amecheat na moyon hana aman,dawa ni kuachana nae tu japo ndo ivo natakiwa nijipe muda
Sometimes huwa tunawadanganya kwa ajili ya mapenzi, amani, furaha na kupunguza muda wa kujibu maswali.

Just imagine jamaa kasema kweli na anajutia wewe unamwacha hayo mambo c sawa,

Mnachotakiwa wapendanao uongo mwingine hudumisha penzi ( baba wa imani aliwahi tumia uwongo kupata baraka zaidi, pia alituma uwongo huo huo kumtambulisha mke wake Sara ili asichapiwe, ) mtuelewe wapenzi
 
Mbaka saiz hakuna demu nileyekutana naye,, nika fall in love ,
Kiasi kwamba nikiachw naumia,
Huwa nawashangaa Sana watu wanaolia kisa mapenzi,
Yaan mm nikion dalili tu n mtoa moyoni fasta yaani naheshimu Sana hisia zangu ,
Nazi protect Sana, afu viti vidog Kama mapenz vije viniumize,

You’re very weak
Kuumizwa ni kitu cha kawaida mkuu
Hicho unacho kifanya sio ushujaa ni udhaifu
Wewe siku ukija kuumizwa utateseka sana
 
Mbaka saiz hakuna demu nileyekutana naye,, nika fall in love ,
Kiasi kwamba nikiachw naumia,
Huwa nawashangaa Sana watu wanaolia kisa mapenzi,
Yaan mm nikion dalili tu n mtoa moyoni fasta yaani naheshimu Sana hisia zangu ,
Nazi protect Sana, afu viti vidog Kama mapenz vije viniumize,
tupo pamoko man man!!
mimi huwa napenda kutulia na mmoja ila katika hali yafriend with benefit not love love...
tutafanya yote km wapenzi lakini mi nataka pussy.
ham zikiniisha see u next time
 
Hii kitu ndo napambana nayo aisee inanikata sana maini kibaya zaidi tulikuwa marafiki kabla ya kuwa wapenzi so tulijenga bond flani ivi amazing
kwa mara ya kwanza nimeshindwa kabisa ku move on mapenzi yanauma afu panapouma hapaonekani
Nimemwachia Mungu,Mungu naye ameniachia mimi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi mwenyewe niliwahi kumuacha demu fulani alikua ananipenda balaa. Aisee alibembeleza huyo, alilia mpaka mwishoni nikamuonea huruma nikaamua kumrudia. Alipoona nimekolea kisawasawa kwenye mapenzi akanipiga chini, kanilamba block mitandao yote, simu hapokei na akakata mawasiliano full!! Nilidata.
Anywe soda popote alipo
 
Kama ilivyo adha na taadhima kwenye mapenzi hakuna bingwa!unaweza ukawa bingwa leo lakini hauwezi kuwa bingwa milele!

Kabla haujafa hujaumbika!katika maisha usije ukasema kamwe sitafanya kitu fulani!
Bali sema Mwenyezi Mungu naomba nisaidie ama niepushe nisifanya jambo fulani maana binadamu ni kiumbe dhaifu ana mapungufu yake!

Mimi niliwahi kuapa kamwe sitawahi kuja kurudiana na Ex girlfriend yeyote yule kwa namna yeyote ile!

Na kweli nilikuwa bingwa kwa muda fulani ila baada ya miaka 15 ya ulimwengu wa mapenzi na wanawake tofauti tofauti sikuwahi kumrudia ex girlfriend!

Ila sasa iliwahi kunitokea nikamuacha demu mmoja bila sababu za msingi kwa kujua mimi nipo fiti tu mapenzi hayanababaishi aisee gafla nilianza kukonda kila nikimsahau hasahuliki (labda uchawi ulitumika,maana wanawake wachawi sana wa mapenzi)mara demu baada ya miezi miwili akaanza kumpost baby wake nikazidi kuumia futa picha zote tulizopiga,block moja matata lakini aah!wapi maumivu per day vile vile!
Niliteseka miezi mitatu nikaona cha kufia nini!

Nikaenda kumuomba turudiane kwa vile alikuwa na yeye bado ananipenda jamaa akachezea kibuti matata!

Kipindi hicho cha miezi mitatu nilikuwa na girlfriend mwingine ile nilikuwa sijusikii chochote hata nikilazimisha kumpenda nashindwa!

Je? Na wewe ulishawahi kushindwa ku move on!?ilikuwaje?
Nipo kwenye situation iyo kwa Sasa mkuu mazoea ni mabaya sana
 
Back
Top Bottom