TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Ndio ntolee mpaka keshoPole sana mkuu!mwisho wa siku haukufanikiwa kuonana nae tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ntolee mpaka keshoPole sana mkuu!mwisho wa siku haukufanikiwa kuonana nae tena?
Ndiyo mkuu, huu uzi unaruhusu niwe huku pia [emoji19]
Acha tu mkuu, si kwa kugaragazwa kwa moyo huku ila fresh tu yatapita naaminiNani huyo anakugaragaza kumoyo tena dear
Acha tu mkuu, si kwa kugaragazwa kwa moyo huku ila fresh tu yatapita naamini
Oaneni tu sasaNnae uyo kila niki muacha najiapia sita mrudia tena.tunakaa ata mwezi kila mtu kakaza.ila akini tafta tu nashangaa nimooo kukaza nashindwa
Ahsante sana April. Ni kweli nimeamua kuandika kiufupi tu ila nnachokipitia kiuhalia Mungu tu ndiye ajuaye🙄
Amen napokea ila pia yawezekana kuna malipo hapa hapa duniani eeh huenda nalipia kwa wale niliowagaragaza pia hii dunia hii😀Muda ni best healer pole sana pokea uponyaji kuanzia sasa hakuna atakae kugaragaza, utawagaragaza [emoji16]
Mungu atakusaidia kila lenye mwanzo lina mwisho!!Ahsante sana April. Ni kweli nimeamua kuandika kiufupi tu ila nnachokipitia kiuhalia Mungu tu ndiye ajuaye[emoji849]
Kuna vitu uwa sifanyi kushika number anapokaa sitaki nipajue tukiachana nikifuta kila kitu imetoka iyo kama nilimpenda nitapata tabu mwez au Week kazaa ikitoka iyo bsi tna wengi nimewasahau kabisa
Ndio ntolee mpaka kesho
Mbaka saiz hakuna demu nileyekutana naye,, nika fall in love ,
Kiasi kwamba nikiachw naumia,
Huwa nawashangaa Sana watu wanaolia kisa mapenzi,
Yaan mm nikion dalili tu n mtoa moyoni fasta yaani naheshimu Sana hisia zangu ,
Nazi protect Sana, afu viti vidog Kama mapenz vije viniumize,
Nnae uyo kila niki muacha najiapia sita mrudia tena.tunakaa ata mwezi kila mtu kakaza.ila akini tafta tu nashangaa nimooo kukaza nashindwa
Mbinu gani hizo mkuu coz napitia situation Kama yakoNipo kweny huo mpito,kila nkijarbu kumsahau bdo ananijia akilin ila kwa alichofanya wala ctaki nirudiane nae tena cz nshajua mbinu mbadala za kumsahau
Sasa mbona hamkuachana mkuu, miezi 3 mbona muda mfupi sana.
Ili nimuite x wangu lazima mwaka uishe kabisa kama ni chini ya hapo anakuwa haja timiza vigezo.