Breakup ya kwanza ilikuaje?

Sahivi mda wa kupenda ninao sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee siogopiii?
🀣🀣🀣🀣 Usipende hovyo bana waache wana wa israel wakupende na waumie wenyewe.!
 
Udugu em niache umenifanya nicheke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mjukuu wa malkia ananipenda hajielewi ni mimi kubonyeza kitufe cha kukubali biashara iishe.!!
Sikufichi udugu, mbegu hizo zinataka matunzo bora.

Kuna mdada alidate na mzungu alikuja kwenye mambo ya makaa ya mawe, si akabeba mimba, mzungu akaondoka, mtoto kazaliwa afu wa kike, yaan had namuonea huruma, kafubaa, kachafukaa, yaan hata haelewekii.

Sasa si dhambii hiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
🀣 polesana so sad story, jamaa alikubwaga kama mchele ili kuku wakudonoe?🀣

Anyways ilipaswa upitie hayo kujijenga ktk tasnia ya mahusiano.
 
🀣🀣🀣🀣🀣 unanifanya nacheka mpk mbwa wanapiga kelele ujue!! Wanajua nimevamiwa ndani nini?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hamna huyu nikimzaa anatunzwa vizuri hebu tulia baba yake sio km wamatumbi wanaotelekeza watoto bhana
 
Breakup iliyoiumiza ni ya mwka 2016,

Demu alinitumia text,

"Hebu na wewe niache"

Hii ni Baada ya kumcheki kwa siku 3 hapokei simu zangu. Nikamtext kujua tatzo nini.
Nikajibiwa hivyo.

Ilinitesa mpka nikawa ninajicheka mwenywe, but nilivuka.
 
Mazee si ajitokeze kijana mmoja ampe Lamomy heartbreak ya nguvu kiasi kwamba apungue kilo tano ndani ya siku mbili?
🀣🀣🀣 Mi master Shivo, Konki master, oil chafu..!! Hapa wao ndo watapata heartbreak mpk waone JF ya uchungu, watamani kukimbia had id zao ohhh..!!
 
🀣🀣🀣 Mi master Shivo, Konki master, oil chafu..!! Hapa wao ndo watapata heartbreak mpk waone JF ya uchungu, watamani kukimbia had id zao ohhh..!!
Ngoja tukuundie kamati. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ukitamani ukiacha huwezi waza Kabisa ila ukipenda alafu ukaachwa maumivu yake ni makali asikwambie mtu

Yaa Kuna Manzil mmoja aliniacha roho iliuma ila baada ya 3 weeks nikawa nipo sawa nilikaza roho kweli

Nikamtumia Sms Asante Kwa pendo lako" theni nikaendelea na mishe zangu kama kawa mapenzi ni Kitu ambacho hatutakiwi kukipa kipaumbele sana Kwa mtu anayepambana na maisha kama ukweli unahitaji mpenzi kwanini usioe nenda hata vijijini ukaoe Kuna mabinti wazuri Tu

Mungu akijalia nitaanza safari niende nyumbani nikachukue jiko haya mambo ya kusumbuana na mabinti wa dar ni taabu kwelikweli

Mabinti wa dar wamekaa kibiashara sana kama poshy queen [emoji23]
 
Hakika mkuu, wengi wao maisha magumu, na ukizingatia dar ni mji wa starehe. Kama unajitafta ni kweli ukatafta mtu ambaye atazingatia juhudi zako. Kina poshy, kajala, diva, na hao wengineo wapo kimsrai zaidi watakupa upendo fake af mwisho wakuache solemba 🀣.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…