Mngoni asiyepiga gambe
Senior Member
- May 4, 2017
- 151
- 318
Nakumbuka pia nilichezea supp ya business statistics semester hiyo hiyo 😀😀A lot of abnormal activities
1. Kushika kwanja kufyeka majan hata nyakati za usiku
2 kuswali swala ya alfajiri msikitin na haikuwa kawaida yangu
3 kuanza kusoma madrassa na kumrudia mungu kwa fujo
4 Kuwa motivational speaker wa mitandaoni 😀😀
MAPENZI KONYO SANA
Dj naomba nipigie Kuachwa ya Kahlid Chokoraa. usifanye kichi kichi hadi mwisho
Wazo zuri,Mwaka jana mwezi wa 07 niliumia kinoma ila nilikubaliana na hali , nikamueleza asiwahi kunitafuta tena jina langu aliweke kwenye list la majina ya watu wake aliofahamiana nao na wakafa kwamba hataniona tena, na yeye nikamwambia asinitafute hata iweje.
Baada ya hapo nilifuta namba yake ya simu na kumbukumbu zote lakini haikusaidia ndani ya miezi mitatu mbele bado niliendelea kupata maumivu kilicho nisadia sikuwahi kukariri namba yake na kwenye simu niliifuta kwahiyo ilinisaidia kuendelea kuwa mbali nae.
Sasa hivi nimeshamsahau mwaka jana mwezi wa 12 alinitumia meseji ya kunitakia heri ya kuzaliwa sikujibu, mwaka mpya akanitumia meseji sikujibu , mwezi mmoja uliopita alinitumia meseji ya kunitakia ramadhan njema sikujibu pia meseji zikiingia nazifuta na namba yake hapohapo.
Wanaume wanateseka hivi bff umeona 🤣🤣🤣
Vile nini ??🤣🤣🤣🤣 unataka kusemaje? Kwamba ni vile au??
Umevunja had line kwasababu ya binadamu mwenzio?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo moyo wangu kwatu....yaani ukipata nafasi ya kwaumiza usituangushe 🤣🤣🤣minya hadi mapu...lizoWanaume wanateseka hivi bff umeona 🤣🤣🤣
Wanaume huwa tunaumia mara moja tu na hii ni kutokana na kwamba tunachelewa sana ku move on tofauti na wanawake baada ya hapo sisi ndio tunaumizaPoleni sana wanaume kumbe ndo mnavyoumiaga hivi?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu atokee mwana wa Israel mmoja anikoseshe amani, nilie nihuzunike nishindwe kula. Tatizo mimi msg za mapenzi nazisoma kwa herufi kubwa ndiomana hata mtu akisema tuachane hainiumizi..!! Namwambia kwenda mwana kwenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye hiphop hapo na mimi nimo, ngoma za 2pac zote zipo kichawni. Jamaa alinimotivate sana ku move on... Hasa ngoma ya "life goes on"Ghafla akaniambia via sms kuwa yuko lodge na ampendaye,nikadhani utani nikapiga simu akapokea afu akampa njemba ikaniambia "stop bothering my queen"afu na yeye akaniamba mazoea yafe,just ghafla tu na hatukuwa na tofaut,aisee nikaenda kumweleza rafik yangu,alisikitika sana maana nilikua mnyonge vibaya mno,ningezubaa ningekufa kwa mawazo na njaa,mazoez yakaanza kwa kasi,gym na mimi afu na hiphop hardcore nikamsahau yule manzi,tangu hapo sijawah kuwa na mwanamke mmoja japo nimeoa ila vya pembeni sikosi!
Kwa hizi comment mnaumizwa sana bana 🤣🤣🤣Wanaume huwa tunaumia mara moja tu na hii ni kutokana na kwamba tunachelewa sana ku move on tofauti na wanawake baada ya hapo sisi ndio tunaumiza
🤣🤣🤣 ni ya kugonga mbele na nyuma mpk akili ziwakae sawa!!Hapo moyo wangu kwatu....yaani ukipata nafasi ya kwaumiza usituangushe 🤣🤣🤣minya hadi mapu...lizo
Kwa hizi comment mnaumizwa sana bana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha ujinga unaharibu mawasiliano kwa kiazi mmoja mliyekutana ukubwani we vipi?? 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23] acha mwanangu imepita miaka 5 now haitakuja kutokea kuvunja lain kwa ajili ya mwanamke
Humo Ana sema there is a heaven for a niggaKwenye hiphop hapo na mimi nimo, ngoma za 2pac zote zipo kichawni. Jamaa alinimotivate sana ku move on... Hasa ngoma ya "life goes on"
[emoji23][emoji23]nimelia sana
Msichokijua furaha ya kweli inaletwa na wewe mwenyewe, sasa hivi mpz wako akikutumia msg soma kwa herufi kubwa na usisome kwa hisia uone km utaumia 🤣🤣🤣Acha tu wengi wanaotuumiza tulitegemea furaha kutoka kwao [emoji29]
Kuna kitu kinaitwa intimacy hiki kitu kanakuja unapoingia kwenye mapenzi ya dhati na kina nguvu sana. Kumbuka mpk uingie kweli sio umetamani. Achana na kutoa mihemko hii ipo deep zaidi. Ukiingia hapa ukaachwa usipolia wewe sio mtu ni roboti🤣. Mimi nilikua kama wewe mpk yalipo nikuta.Nimelia msiba wa mama yangu inatosha sio mtu mzima mwenzangu mwenye meno 32 na mengine yaliyotoboka na kuoza anilize kijinga..!! 🤣🤣🤣🤣
Acha ujinga unaharibu mawasiliano kwa kiazi mmoja mliyekutana ukubwani we vipi?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo vile 🤣Vile nini ??
Kujiendekeza we jamaa boya wa mapenzi 🤣🤣🤣Kuna kitu kinaitwa intimacy hiki kitu kanakuja unapoingia kwenye mapenzi ya dhati na kina nguvu sana. Kumbuka mpk uingie kweli sio umetamani. Achana na kutoa mihemko hii ipo deep zaidi. Ukiingia hapa ukaachwa usipolia wewe sio mtu ni roboti🤣. Mimi nilikua kama wewe mpk yalipo nikuta.
Jamaa alikua anaelezea mwanae alivyo uwawa hasa kipind kile shooting kwa Black American ilikua kawaida coz of racism. Sasa mm nilikua nachukulia maumiv aliyopitia najipa ilinipate motivation. Nilipiga gym ambayo mpk leo nawazaga hivi ulemoto nilitoleaga wapi🤣 hakika yule manzi alinibadilisha.Humo Ana sema there is a heaven for a nigga